Mr Kazembe
JF-Expert Member
- Mar 24, 2019
- 374
- 483
Mwizi kaingia ndani ya nyumba ya mtu kuiba majirani tukaona tukafunga mlango kwa nje.
Mwizi akataka kuvunjja mlanngo akapanda juu akachana bati akutokea juu akaanza kukimbia, Wananchi wenye hasira kali wakampa kipigo tukajitahidi kuwazuia tukafanikiwa mwenyewe.
Mwenyewe alipewa taarifa akarudi kufika akataka kumsurubu tukamzuia, mjumbe akawa amefika akapelekwa polisi sasa polisi wanasema muibiwa amtibie kwanza ndo kesi iendelee
Je, ni sahihi?
Nitafurahia majibu toka kwenu
Mwizi akataka kuvunjja mlanngo akapanda juu akachana bati akutokea juu akaanza kukimbia, Wananchi wenye hasira kali wakampa kipigo tukajitahidi kuwazuia tukafanikiwa mwenyewe.
Mwenyewe alipewa taarifa akarudi kufika akataka kumsurubu tukamzuia, mjumbe akawa amefika akapelekwa polisi sasa polisi wanasema muibiwa amtibie kwanza ndo kesi iendelee
Je, ni sahihi?
Nitafurahia majibu toka kwenu