The Burning Spear
JF-Expert Member
- Dec 23, 2011
- 3,443
- 8,287
Mimi kama mkristu kamili.
Amri ya pili inasema "usilitaje bure jina la mungu wako".
Viongozi wa dini mko wapi kukemea jambo hili ovu.
Nimesikia mara ya tatú mhimili wa serikali inamsingizia Mungu.
1. Mgao wa umeme last year makala alisema serikali haina namna tumwombe Mungu mvua inyeshe.
2. Mgao Wa Maji makala huyo huyo Alisema hili ni suala la kimungu hatuna namna.
3. Leo mama Samia anasema tumeshuka kiuchumi Kwa sababu za kimungu.
Hizo ni lugha Za watu waliofail. We go to God for something Which is beyond human thinking capacity.
Kumsingizia mungu kila kitu maanake mmeshindwa kazi tuliyowatuma watanzania.
Chini ya Samia ufujaji wa pesa za umma ni mkubwa sana. Uzembe Makazini umezidi.
Huduma katika taasisi Za serikali unaweza lia zimekuwa mbaya sana
Amri ya pili inasema "usilitaje bure jina la mungu wako".
Viongozi wa dini mko wapi kukemea jambo hili ovu.
Nimesikia mara ya tatú mhimili wa serikali inamsingizia Mungu.
1. Mgao wa umeme last year makala alisema serikali haina namna tumwombe Mungu mvua inyeshe.
2. Mgao Wa Maji makala huyo huyo Alisema hili ni suala la kimungu hatuna namna.
3. Leo mama Samia anasema tumeshuka kiuchumi Kwa sababu za kimungu.
Hizo ni lugha Za watu waliofail. We go to God for something Which is beyond human thinking capacity.
Kumsingizia mungu kila kitu maanake mmeshindwa kazi tuliyowatuma watanzania.
Chini ya Samia ufujaji wa pesa za umma ni mkubwa sana. Uzembe Makazini umezidi.
Huduma katika taasisi Za serikali unaweza lia zimekuwa mbaya sana