Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Positive bado hujao tu Mkuu?Nashukuru kwa huu uzi mana Leo tu nimetoka kupigiwa simu na mzee mwanjisi ananiuliza naoa lini mana umri umeenda anahitaji kushuhudia harusi yang. ...sasa kaka mkubwa hata mwanamke sina
Umenichekesha sana ndugu yangu!!!!!Habari wakuu.
Poleni sana kwa majukumu, Hoja yangu ni kwamba imefika wakati nataka kuoa sasa, ila sasa imebidi niulize kwa mliooa. Mmepataje wake wakuoa? Maana toka nipate wazo la kuoa nimekua nazurula sana maeneo mbalimbali nikiamini nitakutana na anayenifaa, hii hali imenifanya hata nikiwa nyumba ya ibada nisiwe makini na ibada bali nakagua mke, hata nikiwa kwenye daladala yaani akipanda Dada nakuwa makini sana nikiamini labda ndo huyu..!
MSAADA WENU TAFADHARI...
Umenichekesha sana ndugu yangu!!!!!
kwakweli mwenyewe natamani sana kuoa lakin sijui nafanyaje maana hata niliyemtegemea kanizingua jamn tusaidien tunapataje mke bora sisi ambao bado maana mpk mitandaon humu jf natafuta lkn akuna hata anaejib
Huenda labda waleviUna mpenzi?
Kama unaye fanya upgrade from girlfriend to wife !
mkuu bado natafuta labda huko kuna hata dada yako ana tabia nzuri unipePositive bado hujao tu Mkuu?
Dada yangu humuwezi mkuu,utajinyanyasa tu.mkuu bado natafuta labda huko kuna hata dada yako ana tabia nzuri unipe
haina tabu mkuu ngoja niendelee kupigana mana mjini humu tunakutana na wengiDada yangu humuwezi mkuu,utajinyanyasa tu.
Hahahah ni wivu tu. Warombo mko juuTunautaka uzi wetuuu. Hajapenda sisi warombo kuwapiga knock out
Yaan hatujashiriki uchaguzi ila jimbo tukabeba
Kwa maelezo yako nimegundua ni bange ndio iliofanya umuoe huyu mkeo.Ukitaka mke mzuri mwangalie tabia za Mama wa Mke unae muoa,
Before ya mke wangu, nilikuwa na Binti mmoja tukienda kula tunaagiza Sato wawili na tulipo bakisha haangaiki kuomba afungiwe na mbaya zaidi alikuwa anaagiza vitu vyenye bei harafu vinamshinda.
Oohoo Mungu wangu... Nakumbuka first time nipo out na huyu ambae ni Mke wangu.. Alisema tuagize Sato mmoja na chip's Mbili... Na tulibakisha kwa sababu stori zilichukua nafasi kubwa.. Aliomba afungiwe kisha akaniambia chukua ukifika Home utakula... Nilimuona huyu vipi aoni noma hii sehemu tulivu hivi harafu mambo ya kufunga funga.. Ilikuwa saa nne usiku.
Nilivyo fika home nikavuta bangi kisha ndio nikazama kwenye tathimini juu yake... Ganja inaisha kichwani saa nane usiku njaa ya hatari.... Nikakumbuka ooohoo I have something. Mke mwema utamjua kwa Matendo na tabia zake.
Kwa maelezo yako nimegundua ni bange ndio iliofanya umuoe huyu mkeo.
mke hatafutwi kwa kufanya window shoping,tulia saa ikifika utampataHabari wakuu.
Poleni sana kwa majukumu, Hoja yangu ni kwamba imefika wakati nataka kuoa sasa, ila sasa imebidi niulize kwa mliooa. Mmepataje wake wakuoa? Maana toka nipate wazo la kuoa nimekua nazurula sana maeneo mbalimbali nikiamini nitakutana na anayenifaa, hii hali imenifanya hata nikiwa nyumba ya ibada nisiwe makini na ibada bali nakagua mke, hata nikiwa kwenye daladala yaani akipanda Dada nakuwa makini sana nikiamini labda ndo huyu..!
MSAADA WENU TAFADHARI...
umekuwa CIA ......duuuuhHabari wakuu.
Poleni sana kwa majukumu, Hoja yangu ni kwamba imefika wakati nataka kuoa sasa, ila sasa imebidi niulize kwa mliooa. Mmepataje wake wakuoa? Maana toka nipate wazo la kuoa nimekua nazurula sana maeneo mbalimbali nikiamini nitakutana na anayenifaa, hii hali imenifanya hata nikiwa nyumba ya ibada nisiwe makini na ibada bali nakagua mke, hata nikiwa kwenye daladala yaani akipanda Dada nakuwa makini sana nikiamini labda ndo huyu..!
MSAADA WENU TAFADHARI...