Enyi mliooa, mlipataje wake?

Habari wakuu.

Poleni sana kwa majukumu, Hoja yangu ni kwamba imefika wakati nataka kuoa sasa, ila sasa imebidi niulize kwa mliooa. Mmepataje wake wakuoa? Maana toka nipate wazo la kuoa nimekua nazurula sana maeneo mbalimbali nikiamini nitakutana na anayenifaa, hii hali imenifanya hata nikiwa nyumba ya ibada nisiwe makini na ibada bali nakagua mke, hata nikiwa kwenye daladala yaani akipanda Dada nakuwa makini sana nikiamini labda ndo huyu..!
MSAADA WENU TAFADHARI...
Umenichekesha sana ndugu yangu!!!!!
 
Ha ha ha ha ha,ishi kwa tabia yako/maisha yako halisi utampata tu wakuendana na wewe,inawezekana eneo unalofanyia kazi au sehemu yoyote ile.
 
Dah hili ni janga letu sote mkuu
kwakweli mwenyewe natamani sana kuoa lakin sijui nafanyaje maana hata niliyemtegemea kanizingua jamn tusaidien tunapataje mke bora sisi ambao bado maana mpk mitandaon humu jf natafuta lkn akuna hata anaejib
 
Ukitaka mke mzuri mwangalie tabia za Mama wa Mke unae muoa,

Before ya mke wangu, nilikuwa na Binti mmoja tukienda kula tunaagiza Sato wawili na tulipo bakisha haangaiki kuomba afungiwe na mbaya zaidi alikuwa anaagiza vitu vyenye bei harafu vinamshinda.

Oohoo Mungu wangu... Nakumbuka first time nipo out na huyu ambae ni Mke wangu.. Alisema tuagize Sato mmoja na chip's Mbili... Na tulibakisha kwa sababu stori zilichukua nafasi kubwa.. Aliomba afungiwe kisha akaniambia chukua ukifika Home utakula... Nilimuona huyu vipi aoni noma hii sehemu tulivu hivi harafu mambo ya kufunga funga.. Ilikuwa saa nne usiku.

Nilivyo fika home nikavuta bangi kisha ndio nikazama kwenye tathimini juu yake... Ganja inaisha kichwani saa nane usiku njaa ya hatari.... Nikakumbuka ooohoo I have something. Mke mwema utamjua kwa Matendo na tabia zake.
Kwa maelezo yako nimegundua ni bange ndio iliofanya umuoe huyu mkeo.
 
Habari wakuu.

Poleni sana kwa majukumu, Hoja yangu ni kwamba imefika wakati nataka kuoa sasa, ila sasa imebidi niulize kwa mliooa. Mmepataje wake wakuoa? Maana toka nipate wazo la kuoa nimekua nazurula sana maeneo mbalimbali nikiamini nitakutana na anayenifaa, hii hali imenifanya hata nikiwa nyumba ya ibada nisiwe makini na ibada bali nakagua mke, hata nikiwa kwenye daladala yaani akipanda Dada nakuwa makini sana nikiamini labda ndo huyu..!
MSAADA WENU TAFADHARI...
mke hatafutwi kwa kufanya window shoping,tulia saa ikifika utampata
 
Habari wakuu.

Poleni sana kwa majukumu, Hoja yangu ni kwamba imefika wakati nataka kuoa sasa, ila sasa imebidi niulize kwa mliooa. Mmepataje wake wakuoa? Maana toka nipate wazo la kuoa nimekua nazurula sana maeneo mbalimbali nikiamini nitakutana na anayenifaa, hii hali imenifanya hata nikiwa nyumba ya ibada nisiwe makini na ibada bali nakagua mke, hata nikiwa kwenye daladala yaani akipanda Dada nakuwa makini sana nikiamini labda ndo huyu..!
MSAADA WENU TAFADHARI...
umekuwa CIA ......duuuuh
 

Similar Discussions

28 Reactions
Reply
Back
Top Bottom