Imekuwa desturi yenu kila anapohutubia mmoja wa mhimili mnapiga makofi nakushangilia huku mkiimba Tunaimani na Fulani.
Huwa mnachambua hotuba zao?
Mmekuwa kama watoto kupiga makofi. Rais akimchamba Spika mnashangilia, mkiwa bungeni Spika akiongea ushenzi kwa serikali mnashangilia. Nyie ni ndege wa angani?
Mwanzoni Rais aliwaambi Mnademka bungeni .Hamkufanya iwe hoja bungeni kwanini tunaambiwa tunademka.
Sasa mnawademkia Spika na Rais.
Asante Rais kuwaambia mkeka unakuja.
Huwa mnachambua hotuba zao?
Mmekuwa kama watoto kupiga makofi. Rais akimchamba Spika mnashangilia, mkiwa bungeni Spika akiongea ushenzi kwa serikali mnashangilia. Nyie ni ndege wa angani?
Mwanzoni Rais aliwaambi Mnademka bungeni .Hamkufanya iwe hoja bungeni kwanini tunaambiwa tunademka.
Sasa mnawademkia Spika na Rais.
Asante Rais kuwaambia mkeka unakuja.