exalioth
JF-Expert Member
- Jun 22, 2016
- 2,189
- 3,684
Naomba kujua je? kwenye jezi za simba sc jina la Yanga na GSM linahusiana na nini au ni wadhamini?
View attachment 2003054
View attachment 2003054
Naomba kujua je? kwenye jezi za simba sc jina la Yanga na GSM linahusiana na nini au ni wadhamini?
View attachment 2003054
Yanga na sisi Simba hatudhuliani.
Naomba kujua je? kwenye jezi za simba sc jina la Yanga na GSM linahusiana na nini au ni wadhamini?
View attachment 2003054
Hili topolo halijui kuandika
Maadui Wa Tanzania HaoUjinga
Maradhi
Umaskini
Hakuna kitu kama hicho hizo ni imagination zake tuBadala ya kumchamba Mpeni majibu kama swali mmelielewa!!!kwenye jezi za SiMba neno GSM na yanga yanafanya nini?
Na Yanga nayo ina maana gani?Huu nao ni uharo kama uharo mwingne tuseme hilo gsm ni wale mabosi wa utopolo ndo wanaofahamika au kuna maana nyingne zaidi ya hiyo?
Hiyo ni barcode toka jezi ya Yanga ambayo mshamba mmoja ameicopy na kiupaste juu ya hiyo emblem ya Vunjabei. Iangalie kwa makini haikulala sambamba na mistari ya nembo ya Vunjabei, halafu chunguza huo mstari chini ya barcode uliolazimishwa kutoa rangi yake ya asili. Pengine njano/kijani.
Huko Yanga yamejaa mazezeta tupu tuwasamehe bure.Hiyo ni barcode toka jezi ya Yanga ambayo mshamba mmoja ameicopy na kiupaste juu ya hiyo emblem ya Vunjabei. Iangalie kwa makini haikulala sambamba na mistari ya nembo ya Vunjabei, halafu chunguza huo mstari chini ya barcode uliolazimishwa kutoa rangi yake ya asili. Pengine njano/kijani.
Halafu mtu unakuja kufungua uzi wa kishamba hapa.
Nikuulize na ww ina maana ganiNa Yanga nayo ina maana gani?
Sasa kama jiesemu kaagiza ..hilo jina yanga linatoka wap wkt ni jez ya simba?Wala usipate shida mkuu, vunjabei kaagiza jezi kupitia kampuni ya GSM na hii GSM ni kama maji Coz usipo kunywa basi lazima utayaoga tu