Entrance of Foreigners is strictly prohibited, Tangazo maarufu nchini Urusi kwenye Jiji lililo mafichoni

britanicca

JF-Expert Member
May 20, 2015
15,634
30,000
40th City maarufu kama AgendaLugano
Ni mji uliomafichoni nchini Urusi ambapo melfu ya wanaume, wanaeake na watoto wanaishi na kufanya kazi kwa kulazimishwa, ndani ya fence ya umeme, wakilindwa na Maaskari Kikosi Maalumu.

Wakazi wanaambiwa kwamba ndo watumwa wa dunia wa kuleta maendeleo chanya, wao ndiyo chachu ya ufanyaji kazi na kuleta maendeleo,(Nuclear shields)

city_40.jpg
 
40th City maarufu kama AgendaLugano
Ni mji uliomafichoni nchini Urusi ambapo melfu ya wanaume, wanaeake na watoto wanaishi na kufanya kazi kwa kulazimishwa, ndani ya fence ya umeme, wakilindwa na Maaskari Kikosi Maalumu.

Wakazi wanaambiwa kwamba ndo watumwa wa dunia wa kuleta maendeleo chanya, wao ndiyo chachu ya ufanyaji kazi na kuleta maendeleo,(Nuclear shields)

View attachment 1256160
britanicca umeileta kiushabiki sana wakati sio kweli uliyosema!..
Hiyo CLOSED CITY ni mingi tu Russia na Hata Marekani pia ipo, kwa kifupi ndani ya hiyo miji ADVANCED RESEARCH AND DEVELOPMENTS (R&D) ndimo hufanyika!. Hiili hata mchina kaliiga naye ana miji kaanza ifunga kwa ajiri hiyo!.
Na wanachofanya wanaweka mpaka reflectors satellite zikipelekwa kuiangalia zinagoma kufanya kazi!..
Hayo mambo ukisoma kitabu cha Peter Navarro - 'Death by China' kuna sehemu kayaongelea.
Hakuna utumwa humo!
 
britanicca umeileta kiushabiki sana wakati sio kweli uliyosema!..
Hiyo CLOSED CITY ni mingi tu Russia na Hata Marekani pia ipo, kwa kifupi ndani ya hiyo miji ADVANCED RESEARCH AND DEVELOPMENTS (R&D) ndimo hufanyika!. Hiili hata mchina kaliiga naye ana miji kaanza ifunga kwa ajiri hiyo!.
Na wanachofanya wanaweka mpaka reflectors satellite zikipelekwa kuiangalia zinagoma kufanya kazi!..
Hayo mambo ukisoma kitabu cha Peter Navarro - 'Death by China' kuna sehemu kayaongelea.
Hakuna utumwa humo!
Nimechokoza mada ili tuelewe zaid weka nondo
 
britanicca umeileta kiushabiki sana wakati sio kweli uliyosema!..
Hiyo CLOSED CITY ni mingi tu Russia na Hata Marekani pia ipo, kwa kifupi ndani ya hiyo miji ADVANCED RESEARCH AND DEVELOPMENTS (R&D) ndimo hufanyika!. Hiili hata mchina kaliiga naye ana miji kaanza ifunga kwa ajiri hiyo!.
Na wanachofanya wanaweka mpaka reflectors satellite zikipelekwa kuiangalia zinagoma kufanya kazi!..
Hayo mambo ukisoma kitabu cha Peter Navarro - 'Death by China' kuna sehemu kayaongelea.
Hakuna utumwa humo!
Hapa Tz tuna mfano wa hiyo miji closed city ya (R&D) au bado hatuja fikia hiyo hatua
 
Ndio tumeamua kuanza na chattle ila bado mabeberu wanatuzingua wanashauri pesa ya kuanzishia haya makitu tukawanunulia watoto vyandarua
Kama "think tank" wa taifa mnawachisha kazi wamekua maadui, wenu kweli mtaweza (R&D city )( area 51) Thinking Tank wenu ni kama bashite J muro kachere kingwangare.... mention them......huo uvumbuzi utakua wa hovyo sanaa
 
Kama "think tank" wa taifa mnawachisha kazi wamekua maadui, wenu kweli mtaweza (R&D city )( area 51) Thinking Tank wenu ni kama bashite J muro kachere kingwangare.... mention them......huo uvumbuzi utakua wa hovyo sanaa
 
Back
Top Bottom