Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 63,555
- 112,503
Duh ngoja niache make dhamira yangu ni kunukia sio kuleta vitu vingineKama hufanyi manuizi yoyote ni sehemu ya urembo japo kuna roho unazialika naturally ambazo zinapenda uturi.. Kimsingi viumbe roho hao ni majini wapole wasio na bughudha... Na hukusihi kimyakimya utumie mpaka inakuzoea na kuwa hulka yako... Angalia wanawake wa pwani wanavyopenda udi