Enjoy this! Dhana asili ya kuchoma UDI na kuvukiza mavumba

Kama hufanyi manuizi yoyote ni sehemu ya urembo japo kuna roho unazialika naturally ambazo zinapenda uturi.. Kimsingi viumbe roho hao ni majini wapole wasio na bughudha... Na hukusihi kimyakimya utumie mpaka inakuzoea na kuwa hulka yako... Angalia wanawake wa pwani wanavyopenda udi
Duh ngoja niache make dhamira yangu ni kunukia sio kuleta vitu vingine
 
Nini tofauti ya udi na manemane? Uvumba na marhamu vinahusika kwenye hii dhana au hii inahusu manukato yanayochomwa tu?
107b97005491296fbcbc9083d7e591a9--burning-incense-incense-burner.jpg
 
Mwanga wa kawaida tu lakini kuna ile itumikayo kwenye nyumba za ibada ina maana ya mwanga wa kiroho
Heshima Mkuu!
Nje ya mada kidogo samahani Mkuu
Ni ushuhuda tu Mkuu
Kuhusu ule mti kupandwa karibu na nyumba. Nilifanya utafiti wangu nilishangazwa mtu niliyemuuliza hazungumzi kiswahili nilijaribu kumwelewesha nini nazungumzia Alikiri ni kweli ni mti wenye hatari hiyo. Alikiri ni mti ambao mataifa mengi Africa na Asia wanaujua kiama chake lakini kila mmoja anasema mti mzuri kuupanda mbali kidogo!
Nirudi kwenye mada samahani Mkuu!
Mishumaa ya kanisani ni kwamba unatakiwa kuipata toka kanisani au ni ile tu inauzwa madukani?
Uvumba na manemane unaotumika makanisani je? Ni sawa kununua kwenye maduka ya kawaida?
 
Heshima Mkuu!
Nje ya mada kidogo samahani Mkuu
Ni ushuhuda tu Mkuu
Kuhusu ule mti kupandwa karibu na nyumba. Nilifanya utafiti wangu nilishangazwa mtu niliyemuuliza hazungumzi kiswahili nilijaribu kumwelewesha nini nazungumzia Alikiri ni kweli ni mti wenye hatari hiyo. Alikiri ni mti ambao mataifa mengi Africa na Asia wanaujua kiama chake lakini kila mmoja anasema mti mzuri kuupanda mbali kidogo!
Nirudi kwenye mada samahani Mkuu!
Mishumaa ya kanisani ni kwamba unatakiwa kuipata toka kanisani au ni ile tu inauzwa madukani?
Uvumba na manemane unaotumika makanisani je? Ni sawa kununua kwenye maduka ya kawaida?
Asante kwa ushuhuda na mrejesho chochote kilichopo kanisani kina wakfu na kimebarikiwa hata kikinunuliwa kwenye maduka ya kawaida... Kumbuka kina ibada za kuweka vitu wakfu na kuvibariki
 
Mtu akiamua kukufanyia ubaya anaweza kuwa demu wako, ama mwanaume uliyempokonya demu wake.. Uhanithi huja unapotaka kushiriki unyumba... Asumani jicho moja anashindwa kabisa kusimama kama kangaroo... Ni jambo la kishirikina lisilo na tiba ya kisasa

Una kiswahili kigumuu

Embu ongeza mada za nguvu za giza kushindwa na Nguvu za Mungu habari kaka zile za chumvi ya baharini ndio nazipenda haswa. Jinsi Mungu alivyo na nguvu juu ya hizo za kishetani kwenye ulimwengu wa roho na binadamu anavyoweza kuzishinda kwa kuwa na Mungu pekee.
 
Una kiswahili kigumuu

Embu ongeza mada za nguvu za giza kushindwa na Nguvu za Mungu habari kaka zile za chumvi ya baharini ndio nazipenda haswa. Jinsi Mungu alivyo na nguvu juu ya hizo za kishetani kwenye ulimwengu wa roho na binadamu anavyoweza kuzishinda kwa kuwa na Mungu pekee.
 
Kama hufanyi manuizi yoyote ni sehemu ya urembo japo kuna roho unazialika naturally ambazo zinapenda uturi.. Kimsingi viumbe roho hao ni majini wapole wasio na bughudha... Na hukusihi kimyakimya utumie mpaka inakuzoea na kuwa hulka yako... Angalia wanawake wa pwani wanavyopenda udi
Kwahiyo sio vibaya kiongozi?? Maana mm mwwnyewe napenda harufu ya udi
 
Back
Top Bottom