Wewe iman yako ni ipi uislam au ukristo?Kuliko kukosoa ungeandika kile unachofahamu ndio njia sahihi ya kushare maarifa
Mkuu Nini lengo la kufanya hay?Tukiwa tunaombea marehemu huwa tunaita kutilia ubani, wakati wanawasomea na kutaja majina kila jina unaweka ubani
Very true mkuu, mtu mwenye hekima awapo na njaa hawezi kukosoa mlo wa makande yaliyoko mezani eti kwa sababu sio biliani. Wahenga walisema heri makande ya sasa kuliko pilau ya kesho.Kuliko kukosoa ungeandika kile unachofahamu ndio njia sahihi ya kushare maarifa
Nimekwepa kuzungumzia kwa mtazamo wa kidini kuepusha dhahama ngoja hili tuliundie mada yake maalumMshana Jr. Jamii za waislam hupenda kuchoma udi majumban mwao na hata ktk maeneo yao ya biashara ina maana gan?
Catholic huvukiza uvumba kanisan ina maana gan?
Suala la msimamo kuwa mkali wa wastani nk linatokana na attitude aliyonayo mtu binafsi baada ya Interpretation ya maandiko ya dini anayoiamini lakini kimsingi zoezi au Rituals zinazo husisha mafusho, mafukizo udi uvunba nk yaani smudging liko ktk maandiko ya dini karibu zote kuu duniani sambamba na hao wa Imani za dini zinazoitwa za kishirkina.Wewe iman yako ni ipi uislam au ukristo?
Iman yako imejengwa vipi ktk msimamo mkali au wasta?
Mi napenda udi sijui maana yake, sijui majina yake ila harufu yake tu ndani naipenda, nikichoma bila kujua maana au kudhamiria chochote ni shida?Not for that reason my friend.. Thats the only simple and logical answer they can give
Kama hufanyi manuizi yoyote ni sehemu ya urembo japo kuna roho unazialika naturally ambazo zinapenda uturi.. Kimsingi viumbe roho hao ni majini wapole wasio na bughudha... Na hukusihi kimyakimya utumie mpaka inakuzoea na kuwa hulka yako... Angalia wanawake wa pwani wanavyopenda udiMi napenda udi sijui maana yake, sijui majina yake ila harufu yake tu ndani naipenda, nikichoma bila kujua maana au kudhamiria chochote ni shida?
Nimeepusha kuingiza mitazamo ya kidini ambayo ndio ingekamilisha kule kunakopelea hivyo tuvumiliane tu isomeke kijamii zaidiTengeneza mada iwe ya kuelimisha elimu hii tu kwa upana hapa unarashia rashia kuna vitu tunavikosa mkuu
Mi napenda udi sijui maana yake, sijui majina yake ila harufu yake tu ndani naipenda, nikichoma bila kujua maana au kudhamiria chochote ni shida?
udi na ubani sioni tofauti yakeUbani sawa siyo miudi za majini makata..!