ENGLISH TUTORIAL: Jifunze aina za sentensi na jinsi ya kuziunda kwa lugha ya kingereza

Healthy and Sound...You??
Same to me..I'm having a good evening here at Bandari Salama(DSM) and soon i will be having a cold shower to cool by body a bit,DSM is freaking hot,you know..

Correct me where am wrong..
 
Hahaaa... Kiarabu sio kigumu wala nini mama angu anakipiga kama maji. Hujisikii vibaya kuogea lugha ya makafiri🤣

(Nakuchokoza tu maana kwa ubishi haujambo)



Sometimes when a person presents strong arguments which some people fail to unravel that person is named "contentious" (mbishi).

Arabic is the most perfect language, all world languages are comparatively much easier to learn than Arabic. Those who are conversant in Arabic have a far more potential to learn other languages easily.

sitting in a class learning a new language with an Arab or any person who is conversant in Arabic, if you may wish to surpass him, it would be an uphill task to surpass the Arab or the man in the course.

Reason being; Arabic is a mother of all languages.


With that arguments call me "mbishi" a contentious.

By the way don't forget to bring us the Topic (English tenses), I'm longing to learn more from the topic.

🤓🤓
 
Truly said, without speaking you can't speak even if you know the rules of grammar.
Lugha ni ufanisi ahsante kwa somo kichwa yangu naijua tu!
Kitaalumu wanawake wanauwezo mkubwa zaidi ktk lugha kushinda sisi. Coz ubongo wao wa kushoto na kulia unachakata lugha isipokuwa sisi ni upande mmoja!..

Nini maana ya komenti yangu..?
Ni kutaka kupatia mwanga watu ili kujua ni njia ipi itakuwa nzuri zaidi kwako ukitaka kujua lugha yoyote.. Kuna watu niwepesi na wanauwezo wa kuzingatia hizo sheria sijui za grama na miundo ya sentensi n.k lengo kubwa ni kutaka mtu ajichunguze na kupi kutakuwa kwepesi kwake ktk kujua lugha husika... Wapo wengine ukiwafundisha hizo aina za sentensi sijui na nini hawayashiki!
Coz lugha kwa wengine ni kitu cha kuadapt ni Kama tabia! Na hapa ndipo ushauri wangu ulipo! Ila lengo langu si kupinga mada bali nakazia zaidi.. ni hivi ukishajua A B C za lugha fulani basi we unachofanya ni kutafuta watu Kama kina da Vinci wanaoijua hiyo lugha uanze kuongea nao kwa kutumia lugha husika.. kwa muda fulani utajajikuta umebeba Mambo mengi sana maana lugha ni kama urithi.. hizo grama zitagramika automatic tu maana hapo ni sawa umekaa kwenye gari na utaifata tu inavyoenda.. na Hilo ndo angalizo langu sorry Kama nimeenda nje na mada binadamu wengine ndo tulivyo mtusamehe bure tu.. ila msingi jijue wepesi wako ktk udokozi upi utakufanya udokoe mengi zaidi ktk lugha husika.
 
Back
Top Bottom