Same to me..I'm having a good evening here at Bandari Salama(DSM) and soon i will be having a cold shower to cool by body a bit,DSM is freaking hot,you know..Healthy and Sound...You??
Hahaaa... Kiarabu sio kigumu wala nini mama angu anakipiga kama maji. Hujisikii vibaya kuogea lugha ya makafiri🤣
(Nakuchokoza tu maana kwa ubishi haujambo)
Lugha ni ufanisi ahsante kwa somo kichwa yangu naijua tu!
Kitaalumu wanawake wanauwezo mkubwa zaidi ktk lugha kushinda sisi. Coz ubongo wao wa kushoto na kulia unachakata lugha isipokuwa sisi ni upande mmoja!..
Nini maana ya komenti yangu..?
Ni kutaka kupatia mwanga watu ili kujua ni njia ipi itakuwa nzuri zaidi kwako ukitaka kujua lugha yoyote.. Kuna watu niwepesi na wanauwezo wa kuzingatia hizo sheria sijui za grama na miundo ya sentensi n.k lengo kubwa ni kutaka mtu ajichunguze na kupi kutakuwa kwepesi kwake ktk kujua lugha husika... Wapo wengine ukiwafundisha hizo aina za sentensi sijui na nini hawayashiki!
Coz lugha kwa wengine ni kitu cha kuadapt ni Kama tabia! Na hapa ndipo ushauri wangu ulipo! Ila lengo langu si kupinga mada bali nakazia zaidi.. ni hivi ukishajua A B C za lugha fulani basi we unachofanya ni kutafuta watu Kama kina da Vinci wanaoijua hiyo lugha uanze kuongea nao kwa kutumia lugha husika.. kwa muda fulani utajajikuta umebeba Mambo mengi sana maana lugha ni kama urithi.. hizo grama zitagramika automatic tu maana hapo ni sawa umekaa kwenye gari na utaifata tu inavyoenda.. na Hilo ndo angalizo langu sorry Kama nimeenda nje na mada binadamu wengine ndo tulivyo mtusamehe bure tu.. ila msingi jijue wepesi wako ktk udokozi upi utakufanya udokoe mengi zaidi ktk lugha husika.