English Grammar: Benki ya Posta Tanzania ni TPB Bank au TPBank? Ni sahihi kwa neno "bank" kutumika mara mbili?

Cc @Kiranga

Ulichokizingumzia nakifananisha na chaneli ya ESPN Marekani.

Mwanzoni, ESPN ilikuwa ni kifupi cha Entertainment and Sports Programming Network.

Lakini baadaye nikaja kusikia kwamba waliamua kuji rebrand na kujiita tu ESPN kwa sababu tayari walikuwa wameshakuwa brand name kwenye mambo ya habari za michezo na burudani.

Kwa hiyo, ESPN ya sasa hai stand for anything tena.
 
Mfano wa ESPN ya sasa ambao unasema ‘ESPN networks’

E8FDF012-9719-4F5F-9393-3912B7E1E18D.jpeg
 
Hahahaaaa daaah kaazi kweli kweli.

Anyway, sawa bana.

Mimi nimewaelewa.
Kuwaelewa si vigumu.

Walitaka kutumia branding iliyowekwa na Tanzania Postal Bank, wakati wao si Tanzania Postal Bank. Wangeweza kujiita "New Tanzania Postal Bank" au jina tofauti kabisa".

Lakini wakaamua kutumia kitu ambiguous, ambacho kitawawezesha watu kuihusisha brand tao na TPB, wakati wao si TPB, wao ni TPB Bank.

Mpaka hapo tayari benki inaonekana iko shady na inapenda kutumia njia za mkato mkato.

Haichelewi kukukata hata mshahara kama unaupeleka huko.

Kwa sababu haitaki kufanya mambo vizuri inapenda njia za panya na mkato.
 
Kuwaelewa si vigumu.

Walitaka kutumia branding iliyowekwa na Tanzania Postal Bank, wakati wao si Tanzania Postal Bank. Wangeweza kujiita "New Tanzania Postal Bank" au jina tofauti kabisa"...

Kusema ukweli sidhani kama watu huwa wanajali kuuliza hiyo TPB kirefu chake ni nini.

Na hata wakijitokeza wataouliza kirefu chake ni nini, nadhani jibu la kwamba hiyo TPB haina kirefu chake, ni jibu tosha kabisa.

Siyo lazima TPB iwe na kirefu!
 
Two wrongs do not make a right.

Halafu hapo si jina la institutions, sijajua muktadha wa matumizi ya neno "networks". Inawezekana wanaongelea affiliated networks.

Or is there an institution branded as "ESPN Networks" ?

ESPN ya sasa ni ESPN tu.

Ila ya zamani ndo kirefu chake kilikuwa Entertainment and Sports Programming Network.

Baada ya rebranding, sasa inajulikana kama ESPN Inc.
 
Kusema ukweli sidhani kama watu huwa wanajali kuuliza hiyo TPB kirefu chake ni nini.

Na hata wakijitokeza wataouliza kirefu chake ni nini, nadhani jibu la kwamba hiyo TPB haina kirefu chake, ni jibu tosha kabisa.

Siyo lazima TPB iwe na kirefu!
Labda kwetu huko, hili ni swali la kwanza kabisa katika kuijua benki.

Ama sivyo unaweza kuweka hela zako katika "Benki ya Kikamata na Kufunga Watanzania Wote" kwa sababu hujauliza jina la benki linasimamia nini?
 
Technically utajibu eg Tpb stands for nothing kweli? Mbona ni swali rahisi tu kueleza kuwa kabla ilianza kama Postal bank then baada ya muda imekuwa reformed kuja kwny Tpb bank hivo kwa sasa Tpb ni atomic name which stands as a brand name.
Kutumia jina la benki kuweka herufi zisizomaanisha kitu ni kuonesha kwamba uongozi wa benki haujui uchumi wa kutumia jina, haujui branding, haujui clear communications etc.

Nimeeleza hapo juu, swali moja la kwanza kabisa watakaoulizwa ni "What does TPB stand for?"

Wakijibu "it does not stand for anything" hapo hapo wanaonekana wanacheza.
 
ESPN ya sasa ni ESPN tu.

Ila ya zamani ndo kirefu chake kilikuwa Entertainment and Sports Programming Network.

Baada ya rebranding, sasa inajulikana kama ESPN Inc.
It seems that there is a larger trend in this, na watu wa TPB Bank wanaweza kuwa wameiga huo ujinga kutoka nje.

Kuna shortcuts watu wanafanya kwa sababu ya branding.

Lakini, ukweli kwamba ujinga umeanza nje, haufanyi ujinga huo uwe ujanja.
 
Labda kwetu huko, hili ni swali la kwanza kabisa katika kuijua benki.

Ama sivyo unaweza kuweka hela zako katika "Benki ya Kikamata na Kufunga Watanzania Wote" kwa sababu hujauliza jina la benki linasimamia nini?

Sawa, lakini TPB siyo lazima iwe na kirefu chake.
 
Technically utajibu eg Tpb stands for nothing kweli? Mbona ni swali rahisi tu kueleza kuwa kabla ilianza kama Postal bank then baada ya muda imekuwa reformed kuja kwny Tpb bank hivo kwa sasa Tpb ni atomic name which stands as a brand name.
Mpaka hapo kwa watu wanaopenda clear answers ushapoteza points, unaonekana kama tapeli tapeli hivi unataka kuwaingiza watu mjini.

Rebranding unatakiwa ku simplify mambo, si kuzalisha maswali kibao yasiyo ya lazima.

Swali dogo kama hili linatakiwa lijibiwe na jibu linalomaliza swali, si jibu linaloanzisha maswali mengine au kumfanya muuliza swali aogope kuuliza maswali zaidi kwa kuhofia kufukua mizoga.

Jibu lako halijajibu what does B stand for, utam confuse mtu hapo ajiulize "so TPB is Tanzania Postal Bank Bank?"

Kwa nini wasingejiita New TPB, au jina tofauti?
 
It seems that there is a larger trend in this, na watu wa TPB Bank wanaweza kuwa wameiga huo ujinga kutoka nje.

Kuna shortcuts watu wanafanya kwa sababu ya branding.

Lakini, ukweli kwamba ujinga umeanza nje, haufanyi ujinga huo uwe ujanja.

Hahahaaa.

Mimi mbona sioni tatizo lolote hapo.

Ni mambo tu ya kibiashara na utambulisho hayo.
 
Hahahaaa.

Mimi mbona sioni tatizo lolote hapo.

Ni mambo tu ya kibiashara na utambulisho hayo.
Benki kama hii haikawii kukutungia accounting principles mpya zitakazofanya kila shilingi yako uliyoweka kwao baada ya mwaka iwe senti hamsini.

Wanaweza kukuambia "tume i rebrand one shilling iwe fifty cents"!
 
Branches nyingine za TPB kwakweli mnafifisha ustawi wa Bank, huwezi demand national identity card pekee katika kufanya forex, wakati benki nyingine hawafanyi hivyo?? Yaani mhudumu anakuambia bila National ID hakuna forex. huo ni uhujumu usio na maana.
Hahaha achana nao, labda ungewapa ya uganda wangekubali, maana nayo ni national ID.
Na kuna nchi hazina national ID sasa wanaotoka nchi hizo wataazima za kwetu ili kupata hizo huduma za forex?! Vipi cha machinga nacho hawataki?!
 
Benki kama hii haikawii kukutungia accounting principles mpya zitakazofanya kila shilingi yako uliyoweka kwao baada ya mwaka iwe senti hamsini.

Wanaweza kukuambia "tume i rebrand one shilling iwe fifty cents"!

Haya mambo kwenye biashara ni mambo ya kawaida sana. Hata Dodge Ram siku hizi ni RAM tu.

9F2066BE-E5D3-4261-ADD9-906995AA5CBD.png
 
Back
Top Bottom