Infantry Soldier
JF-Expert Member
- Feb 18, 2012
- 15,893
- 16,317
- Thread starter
- #21
Na NMB ni brand name ama ni acronym???Yees na huo ndio ufafanuzi sahihi hizo TPB,CRDB nk ni brand names za kibiashara sio acronyms.
Na NMB ni brand name ama ni acronym???Yees na huo ndio ufafanuzi sahihi hizo TPB,CRDB nk ni brand names za kibiashara sio acronyms.
Soma hiyo picha hapo chini nilipo fanya highlight.
View attachment 1171516
Ni brand name kwa sasa,unaposema ni microfinance bank kwa level waliyopo Nmb kwa sasa ni sawa na kusema Mlimani City ni mini market. Na hapo ndipo haja ya rebranding huja.Na NMB ni brand name ama ni acronym???
Sasa mkuu, mbona NMB hawajaongeza neno Bank kwenye Logo yao ikawa NMB Bank?Ni brand name kwa sasa,unaposema ni microfinance bank kwa level waliyopo Nmb kwa sasa ni sawa na kusema Mlimani City ni mini market. Na hapo ndipo haja ya rebranding huja.
Sio lazima inategemea na scope unapo operate,mfano ukisema Nmb kwa Tz kuna mtu hataelewa unamaanisha bank? Yaani kuitaja Yanga hadi uweke na fc ndio mtu aelewe unamaanisha timu ya mpira?Sasa mkuu, mbona NMB hawajaongeza neno Bank kwenye Logo yao ikawa NMB Bank?
View attachment 1171583
Wrong !Hiyo inaitwa TPB Bank, sio Tanzania Postal Bank kama ilivyo CRDB Bank, ambayo sio Cooperative and Rural Development Bank.
Vv
Halafu kwenye graphics design huwa tuna avoid unnecessary features kwa hiyo kwa case ya Nmb neno bank ni only important but not necessary.Sasa mkuu, mbona NMB hawajaongeza neno Bank kwenye Logo yao ikawa NMB Bank?
View attachment 1171583
Mwenyewe huwa najiuliza ni mtu gani aliandika ule upupu.!!?? Huwa nawapenda wa TRA, wameandika MAMLAKA YA MAPATO TANZANIA REVENUE AUTHORITY.TPB kirefu chake ni "Tanzania Postal Bank" kama sikosei. Sasa TPB Bank maana yake ni Tanzania Postal Bank Bank? Ni sawa na mtu anayesema "daraja la Selander bridge" anakuwa ametamka "daraja na bridge" kwa wakati mmoja wakati maneno yote mawili yana maana sawa???
View attachment 1171492
View attachment 1171493
NB: NSSF nipeni fao langu la mkupuo. Mtaani maisha ni magumu sana. Mungu anawaona mjue?
Halafu kwenye graphics design huwa tuna avoid unnecessary features kwa hiyo kwa case ya Nmb neno bank ni only important but not necessary.
Ndio wasomi wetu hao kakaMwenyewe huwa najiuliza ni mtu gani aliandika ule upupu.!!??
Asante Mkuu tupo pamoja.Yani we jamaa unajua kweli, maana katika majibu yako yote hapa kama kuna mtu hajaelewa, huyo hataelewa hata apelekwe shule.
Wangeandika TP Bank basi. Kuna bank ya Canadians inaitwa Toronto Dominion Bank. Kifupi chake ni TD Bank, si TDB Bank.Neno Bank linaongezwa kibiashara. Ukisema Crdb au Tpb bila kuwa kuweka neno Bank inaathiri kimatangazo.
Umeona eh???Kawaida ya wabongo unafiki tu hakuna lolote
Hiyo pia ingefaa mkuuWangeandika TP Bank basi. Kuna bank ya Canadians inaitwa Toronto Dominion Bank. Kifupi chake ni TD Bank, si TDB Bank.