English Grammar: Benki ya Posta Tanzania ni TPB Bank au TPBank? Ni sahihi kwa neno "bank" kutumika mara mbili?

Ni brand name kwa sasa,unaposema ni microfinance bank kwa level waliyopo Nmb kwa sasa ni sawa na kusema Mlimani City ni mini market. Na hapo ndipo haja ya rebranding huja.
Sasa mkuu, mbona NMB hawajaongeza neno Bank kwenye Logo yao ikawa NMB Bank?
IMG_20190803_191012_232.jpg
 
TPB kirefu chake ni "Tanzania Postal Bank" kama sikosei. Sasa TPB Bank maana yake ni Tanzania Postal Bank Bank? Ni sawa na mtu anayesema "daraja la Selander bridge" anakuwa ametamka "daraja na bridge" kwa wakati mmoja wakati maneno yote mawili yana maana sawa???

View attachment 1171492

View attachment 1171493

NB: NSSF nipeni fao langu la mkupuo. Mtaani maisha ni magumu sana. Mungu anawaona mjue?
Mwenyewe huwa najiuliza ni mtu gani aliandika ule upupu.!!?? Huwa nawapenda wa TRA, wameandika MAMLAKA YA MAPATO TANZANIA REVENUE AUTHORITY.
 
Yani we jamaa unajua kweli, maana katika majibu yako yote hapa kama kuna mtu hajaelewa, huyo hataelewa hata apelekwe shule.
Halafu kwenye graphics design huwa tuna avoid unnecessary features kwa hiyo kwa case ya Nmb neno bank ni only important but not necessary.
 
Back
Top Bottom