mbingunikwetu
JF-Expert Member
- Feb 17, 2015
- 13,663
- 18,037
Kuna mapinduzi makubwa kwenye soka la kileo kama ilivyodhihirika kwenye mashindano ya Euro 2020 mwaka huu. Timu bora si lazima ishinde na mara nyingi timu bora imekuwa ikizidiwa mbinu na kutupwa nje ya mashindano.
Jana timu bora sana ya Spain ilizidiwa mbinu na Italia na kutupwa nje!! Hali kadhalika timu bora za Ufaransa, Ujerumani, Ureno, Uholanzi zote zimetupwa nje! Inavyoelekea benchi la ufundi ndilo huamua matokeo zaidi kwa kuja "antidote plan" ya kuua makali yote ya timu pinzani na kutumia udhaifu uliopo kipata matokeo.
Enzi za kutegemea super stars zinaelekea ukingoni! Kwa hiyo lek tutegemee Uingereza kuaga mashindano!
Jana timu bora sana ya Spain ilizidiwa mbinu na Italia na kutupwa nje!! Hali kadhalika timu bora za Ufaransa, Ujerumani, Ureno, Uholanzi zote zimetupwa nje! Inavyoelekea benchi la ufundi ndilo huamua matokeo zaidi kwa kuja "antidote plan" ya kuua makali yote ya timu pinzani na kutumia udhaifu uliopo kipata matokeo.
Enzi za kutegemea super stars zinaelekea ukingoni! Kwa hiyo lek tutegemee Uingereza kuaga mashindano!