Engineers wa St. Joseph College na GPA kubwa kubwa

Kwani kuwa genius ni kupata GPA kubwa?Yaweza ikawa ni uwezo wa kukariri tu maana vyuoni (hasa vyuo vya bongo) mara nyingi mitihani yake ni ya maswali ya kurudiwa na wengi wana madesa yake ambayo maswali husika yameshafanywa.
 
nina rafiki yangu yupo st joseph ananiambia kuwa wao vipindi vinaanza saa mbili asubuhi hadi saa kumi na moja jioni with just short kols and one hour lunch break every weekday na darasani wanaitwa majina(attendance) ukiwa below 85% then u r nt eligible kufanya end of semester exams,lecturer akiingia kwenye kipindi kabla yako then huruhusiwi kuingia,maximum number of students in a class ni sixty. To be honest kama vyuo vingine vingekua disciplined to that extent lazima gpa zingepanda provided lecturers are willing to teach.

Hiyo sasa sio university ni training center. University student anatakiwa awe independent thinker na asitegemee sana mwalimu. Hivyo mwanafunzi kutumia muda mwingi darasani haisaidii.
 
Nafikiri wewe ndo hujui maana ya university coz kua independent thinker haimaanishi usitume mda mwingi darasani,after all who told you kuwa university students ndo hawatumii mda mwingi darasani.
 
kwamba unaingia na supporting documents kwenye mitihani.kuanzia tests na ikibidi university exmas!which is very dangerous!
kwa hiyo hata kunakili hayo madesa hawawezi mpaka wanapitwa na wasiotumia hayo madesa?
 
Kumbuka kuwa UDSM na DIT wanafundisha (BSc. Eng) yaani Bachelor of Science in Engineering ambayo huwa inakuwa ngumu kwelikweli maana inamchanganyiko wa Science na Engineering hivyo kupata GPA kubwa siyo rahisi. Hao wa St. Joseph wanafundishwa B. Eng yaani Bachelor of Engineering ina maana hawa husomea uhandisi tu hauchanganyiki na sayansi na huwa siyo ngumu kulinganisha na BSc . Eng na hupelekea kupata ma GPA makubwa.

KIMBWEKA nakusahihisha kwenye DIT. DIT wanafundisha B. Eng.(BACHELOR OF ENGINEERING) na sio BSc Eng.(BACHELOR OF SCIENCE IN ENGINEERING). Tembelea website ya DIT utaiona hiyo.
 
Katika mjadala huu, kunahitajika pia kuelezana tofauti ya Bachelor of Science in Engineering ( BSc. in Engineering), na Bachelor of Engineering (B.Engineering). Kwangu mimi, kitaaluma na kivitendo kuna utofauti. Tukumbuke kwamba DIT na St. Joseph Coll. of Eng. ziko kwenye kundi la vyuo vinavyosimamiwa na bodi ya taifa ya mafunzo ya elimu ya ufundi (National Council for Technical Education) NACTE. Wakati kati vyuo vikuu kama UDSM, nadharia inabeba 60% hadi 70% ya mafunzo yote, na vitendo (practical) inabeba 30% hadi 40%. Kwenye vyuo kama DIT na St. Joseph. Practical zinakuwa na asilimia kubwa kwenye mitaala yao, 40% theory na 60% practical.

Lakini pia ni aina gani ya elimu inatumika, pia ni tofauti. NACTE wanatumia mfumo wa 'competence-based' education. Mfumo ambao vyuo vyote vilivyo na ithibati ya NACTE, vinatumia.

Naona niishie hapo, tuendelee na mjadala.
 
Wana JF mimi nilimaliza UDSM BSC Comp Engineering,
Form 4 DiV I point 8,Form 6 Div I point 3,FOE GPA 3.0.
Nilivyoingia FOE ,nilijipanga kuweka first class.Mambo yakawa tofauti.Nilishukuru hata kumaliza Chuo.Yupo jamaa yangu wa karibu alidisco mwaka 3.Alingia chuo na point 4 za form 6.
 
Wana JF mimi nilimaliza UDSM BSC Comp Engineering,
Form 4 DiV I point 8,Form 6 Div I point 3,FOE GPA 3.0.
Nilivyoingia FOE ,nilijipanga kuweka first class.Mambo yakawa tofauti.Nilishukuru hata kumaliza Chuo.Yupo jamaa yangu wa karibu alidisco mwaka 3.Alingia chuo na point 4 za form 6.

wote nyie mliiba paper secondary enzi za akina Mungai na kapuya nashangaa chuo umemaliza .angalia msije kuangusha maghorofa ya watanganyika .
 
wote nyie mliiba paper secondary enzi za akina Mungai na kapuya nashangaa chuo umemaliza .angalia msije kuangusha maghorofa ya watanganyika .

Sijakuelewa JITUORIGINAL. Huyo member amesomea BACHELOR OF SCIENCE IN COMPUTER ENGINEERING, inakuwaje unamuhusisha na ujenzi wa Maghorofa?
 
Nashukuru kuwasikia Maengineer wenzangu, mie naona GPA ni kipimo kimojawapo cha excellence na ni muhimu, bila kuacha vipimo vingine ambavyo navyo ni muhimu. GPA yako inamaanisha kuwa at the time of the test, you knew what you were doing, and that is something too. But the real education you received is what remains in your head and your attitude. That will be seen by looking at how you live, not necessarily during interviews either, I just do not understand why people judge others on how they answer during interviews. Some people are just born communicators and other are not.

I have come across very many who seemed to be good in interviews and opposite when they are given the job.
Some people have managed to learn the art of no compromise during their university days. You can find them all here, where did we learn to talk and not to listen? where did we learn to talk and not to work? where did we learn to be cynical? where did we learn impatience? where did we learn segregation? it must be thru our walks in life including universities, those years changes the way we socialize forever!!!
But GPA is by far the most reliable way of grading a graduate at the time he/she is about to leave the college.
It hover does not define his/her future life.
 
Sijakuelewa JITUORIGINAL. Huyo member amesomea BACHELOR OF SCIENCE IN COMPUTER ENGINEERING, inakuwaje unamuhusisha na ujenzi wa Maghorofa..
 
Wana JF mimi nilimaliza UDSM BSC Comp Engineering,
Form 4 DiV I point 8,Form 6 Div I point 3,FOE GPA 3.0.
Nilivyoingia FOE ,nilijipanga kuweka first class.Mambo yakawa tofauti.Nilishukuru hata kumaliza Chuo.Yupo jamaa yangu wa karibu alidisco mwaka 3.Alingia chuo na point 4 za form 6.

RReporter2010:

Kitu cha kwanza matokeo yako ya form 4 and 6 sio GPA. Hayo ni matokeo ya mtihani ambayo mtu yoyote aliyejiandaa vizuri anaweza kuyapata. Na kwa Tanzania kwa sababu yanatumika kutoa nafasi za kuendelea mbele, watu wanatumia muda mwingi kujiandaa na mitihani na sio kuwa comprehensive. Kama mwanafunzi ni comprehensive kwanini aende tuition?
 
Katika mjadala huu, kunahitajika pia kuelezana tofauti ya Bachelor of Science in Engineering ( BSc. in Engineering), na Bachelor of Engineering (B.Engineering). Kwangu mimi, kitaaluma na kivitendo kuna utofauti. Tukumbuke kwamba DIT na St. Joseph Coll. of Eng. ziko kwenye kundi la vyuo vinavyosimamiwa na bodi ya taifa ya mafunzo ya elimu ya ufundi (National Council for Technical Education) NACTE. Wakati kati vyuo vikuu kama UDSM, nadharia inabeba 60% hadi 70% ya mafunzo yote, na vitendo (practical) inabeba 30% hadi 40%. Kwenye vyuo kama DIT na St. Joseph. Practical zinakuwa na asilimia kubwa kwenye mitaala yao, 40% theory na 60% practical.

Lakini pia ni aina gani ya elimu inatumika, pia ni tofauti. NACTE wanatumia mfumo wa 'competence-based' education. Mfumo ambao vyuo vyote vilivyo na ithibati ya NACTE, vinatumia.

Naona niishie hapo, tuendelee na mjadala.

Unayozungumza hapa ni siasa. Miaka ya zamani Vyuo vikuu vilionekana ni kama sehemu ya kutoa majenerali. Vyuo vilivyotoa diploma vilikuwa kama vya kutoa viranja ( maluteni na makapteni). Shule zilizobakia zilitoa wapiganaji. Kwa mpango huu ilitosha kwa Tanzania kuwa na chuo kikuu viwili UDSM na SUA vilivyotoa thinkers. Hivyo nadharia ilitiliwa mkazo huko. Vyuo vya diploma na advance diploma kwa sababu vilikuwa ni vyuo vinavyotayalisha watu watakaopokea amri, vilikazania kutoa elimu ya kazi.


Hii system ilitumika sana uingereza. Uingereza walikuwa na vyuo vikuu vilivyotoa digrii na polytechnic vilivyotoa diploma au high national diploma. Lakini mfumo huu hata waingereza wenyewe wameushtukia. Kwa mfano 1979, 10% ya wanafunzi ilienda university wakati sasa ni zaidi ya 40%. Na polytechnics nyingine zimekuwa full university. Na kwa mtaji huu BSc na BE hazina tofauti kubwa sana. Inategemea ni chuo gani ulikwenda. Kwa sababu kwa wenzetu majina ya digrii yalikuwa yana historical connotation.

Mtu anayemaliza BSc in Electrical Engineer, ataitwa electrical engineer. Na hata siku moja utamwita scientist in Electrical Engieering.

Kwa sisi wenye roho ya korosho mabadiliko yanakuwa magumu. Mtu aliyopo UDSM anafikiri kuwa ni yeye pekee yake mwenye uwezo wa kutoa digrii.
 
Kwanini wafaulu au wasifaulu sijui, lakini sikumoja nikiwa pale Mlimani napata Lunch, Walikuwapo ma-Dr wa Engineering nao wanakula kwenye Slub na kilikuwa kipindi cha mitihani. Katika mzungumzo yao, Dr mmoja nilisikia anawaambia wenzie eti katika maswali yote matano najua moja hakuna hanayeweza hata kulijaribu! Ni zaidi ya miaka 10 tokea nisikie hayo maongezi yao, lakin mpaka leo bado najiuliza; Je huyu anayetunga swali akijua hakuna hata mwanafunzi anayeweza kulifanya anataka wanafunzi wake wafaulu au kinyume chake?. Tafakari!
 
Wakuu, nimefuatilia huu mjadala kwa makini nimegundua kuwa kuna wanajamvi (Inawezekana ni Engineers!!) wanalikuza sana hili jambo, ningependa kuchangia kwamba Engineer au Technologist mzuri ni yule anayetambulika kwenye fani yake na kuuzika nyumbani na muhimu zaidi nje ya bongo, mambo ya GPA weka pembeni kwanza!.

Bongo kuna Engineers Registration Board (ERB) lakini sidhani kama wameweka mikakati dhabiti ya kufanya Engineers au Technologist regardless wamesoma FOE au St. Joseph wawe recognized/marketable vizuri particularly nje...

Wenzetu siku nyingi walishatambua hilo; mfano mzuri ni huu hapa chini:

Washington Accord:
Education: Qualifications Recognised - Engineering Council Of South Africa

Sydney Accord:
Education: Qualifications Recognised - Engineering Council Of South Africa

Dublin Accord:
Education: Qualifications Recognised - Engineering Council Of South Africa

Natoa hoja...
 
GPA sio nchi zote zina hizo GPA. Kuna nchi ukisha maliza unapewa gamba linalo onyesha kuwa wewe ni engineer ila kupata hilo gamba fanya kazi. Halafu pia mimi sioni maana ya Engineer kuajiliwa kwa GPA. Engineer ni vitu vyake site. wengi wenye GPA kali si wazuri sana practical.
 
Nafikiri wewe ndo hujui maana ya university coz kua independent thinker haimaanishi usitume mda mwingi darasani,after all who told you kuwa university students ndo hawatumii mda mwingi darasani.

Gooner:

Sifa moja ya university student ni kuweza kuvuta materials mwenyewe. Sasa mnaposema kuwa kuwa wanafunzi wa St Joseph wanaingia darasani saa mbili na kumaliza saa kumi na moja, muda wa kujisomea au kwenda libarary wanaupata wapi? Ndio maana mnakuwa sio creative. Mnafanya shule kama kazi ya ulinzi.
 
watu wanadesa,then their gpa get INFLATED.wakiitwa kwenye interview unaweza toa machozi.hawajui hata walichokiandika kwenye cv zao.ukiwaleta kwenye practical MUNGU WANGU!UTAMSLAP MTOTO WA MTU kwa kuabuse professional

kuna chuo X kina ma lecturers,sijui ndo ma TA madem KIBAO!haki ya mungu wale madada wanamagpa ya kufa mtu KWA KUDESA,na hizo honda wanakoziweka UNAWEZA MUOMBA MUNGU AKUONDOE DUNIANI.

sasa wakiwa madarasani wanafundisha,utadhani MWANASIASA anapoisoma hotuba kwa wadanganyika waliompa KULA

..............mwalimu anapewa somo la DESIGN OF STRUCTURES,halafu hesabu KUSHOTO.washkaji kibao waliacha kozi.

Habarim yako mheshimiwa mhandisi. Hivi uliniambia we ni mhandisi wa kompyuta au?
 
Back
Top Bottom