Nimeipenda hii picha...
huyu ni wa mfano wa kuigwa
Nimeipenda hii picha...
Tena hili ghorofa lipo Mwanza jijini kwa Masha
Naona kama ngazi hazina continuity vile. Ukifika kwenye maungio ndo umekwama hivyo!!!! Well najaribu kuona ikiwa picha hii inaonekana hivi kutokana na angle ya camera.
huyu ni wa mfano wa kuigwa
Duh haya bwana huyu siyo engineer kwa hakika
jamani mpaka alete mkoloni tu ?
huyu kaamua kuja na design mpya na nutaona wazungu wakiiga