nyanda5
Member
- Nov 25, 2014
- 49
- 40
Wadau habari~
Naomba msaada wa kujua bei ya engine ya pikipiki aina ya boxer maana chassis bado ni mpya kabisa lakini engine imekufa kutokana na matumizi mabaya ya kijana aliyekuwa anaitumia. Kuna rafiki yangu alinishauri kuwa ninunue engine ya FEKON nifunge kwani zinaingiliana sina hakika sana na hili naomba ushauri kwa mwenye uelewa please tusaidiane.
Naomba msaada wa kujua bei ya engine ya pikipiki aina ya boxer maana chassis bado ni mpya kabisa lakini engine imekufa kutokana na matumizi mabaya ya kijana aliyekuwa anaitumia. Kuna rafiki yangu alinishauri kuwa ninunue engine ya FEKON nifunge kwani zinaingiliana sina hakika sana na hili naomba ushauri kwa mwenye uelewa please tusaidiane.