DA HUSTLA
JF-Expert Member
- Mar 5, 2012
- 3,663
- 3,881
Ilikua ina km ngapi na ratio ya mafuta imechange kwa ratio gani?Mi nilikuwa natumia 20w50 ila nikaweka 5w30 nimeona very big improvement kwenye consumption ya mafuta.
Ilikua ina km ngapi na ratio ya mafuta imechange kwa ratio gani?Mi nilikuwa natumia 20w50 ila nikaweka 5w30 nimeona very big improvement kwenye consumption ya mafuta.
Ilikua ina km ngapi na ratio ya mafuta imechange kwa ratio gani?
Pia usitumie 20W kwenye low mileage cars na newest cars,inaweza pelekea damage kwenye engine.Kwa kuongezea ni kwamba engine components nyingi za high mileage cars Huwa zinakuwa zimechoka na hivyo kupelekea leaks,lakini kutokana na 20W oil kuwa nzito hupunguza chance ya leakage at high temperatures.Its a tricky topic in fact my friend.