Angel Msoffe
JF-Expert Member
- Jun 21, 2011
- 6,781
- 1,639
athibitishe tu vinginevyo kibao kinamgeukia yeye
Not at all Eliza, ndiyo maana nasema mwisho wa siku watu mnaweza kutwangana ngumi. Maana kuna watu hawataweza kuvumilia hizo biases za waziwazi kiasi hicho.Tunahitaji kuwa na Bunge bias kiasi hiki?
Sina hakika kama hizi fikra zina akili. Anyway, jambo la msingi ni kuwa huo uchunguzi utuoneshe ni nani mhusika, kuimba tu ni ccm au cdm, hakuna maana. Nadhani kama ni cdm, majibu ya uchunguzi yangeshapatikana hata ndani ya siku moja, maana serikali ya ccm ndiyo iliyo na vyombo vinavyofanya uchunguzi. Kwa vile mhusika sio cdm, labda ni ccm au yeyote yule aliyetumwa na ccm, basi hatushangai kama hatutasikia chochote juu ya uchunguzi huu. Hakuna haja ya kuendelea kubwabwaja maneno..huyo eng. atoe michango ya kuwakilisha wananchi wake waliomtuma kuliko...Mbunge stella amesema wazi chadema wanahusika na migomo ya madaktari, pia amesema mungu amemuepusha ulimboka kwa kupata kipigo maana ni kama hiltler wa tanzania kwa kuendesha migomo yenye kuumiza wananchi. Pia amesisitiza waliompiga ulimboka walikuwa na jezi "magwanda" kama ya chadema.
Tumshukuru huyu mama kwa kubainisha.
1. Ni kwanini wabunge wa CCM wanatumia nguvu kubwa kuzima hii hoja ya Dr Ulimboka?
2. Ni kwanini siku 5 zimepita hakuna hata mtu mmoja amekamatwa kuhusiana na huu unyama aliofanyiwa Dr Ulimboka?
3. Stella Manyanya ana information gani kuhusiana na unyama huo?
4. CCM ndio wenye serikali, kwanini wasiwakamate watu wanaoona wanaleta mtafaruku kwenye sekta ya afya kama wanaona wamevunja sheria?
5. Stella Manyanya anaamini madaktari wa Tanzania hawana akili/utashi wa kuamua bila ya kusukumwa na mtu?
Jamani wakuu..tafadhal mtu aweke in brief kinachoendelea huko.wengine tuko mbali na tv..
Mbunge stella amesema wazi chadema wanahusika na migomo ya madaktari, pia amesema mungu amemuepusha ulimboka kwa kupata kipigo maana ni kama hiltler wa tanzania kwa kuendesha migomo yenye kuumiza wananchi. Pia amesisitiza waliompiga ulimboka walikuwa na jezi "magwanda" kama ya chadema.
Tumshukuru huyu mama kwa kubainisha.
Huyu mwenyekiti wa Leo ndio anafaa kuwa spika, kwani hapendi upuuzi wa wapinzani wasio jua kanuni