Eng Kimox Kimokole
JF-Expert Member
- Jun 9, 2010
- 1,032
- 759
Bunge la vichaa hili, Mabumba kaonesha upendeleo wa wazi wazi kabisa. Hata CCM wenyewe wanajishtukia
mmeambiwa na yule AC MSANGI ALIYEMTEKA ULIMBOKA NI CHADEMA?
Huyu mama ni chizi hajui hata anaongea nini, kwanza amechaguliwa na nani hawa viti maalumu waote ni malaya akiwemo hata huyu malaya MKUU
Mbunge stella amesema wazi chadema wanahusika na migomo ya madaktari, pia amesema mungu amemuepusha ulimboka kwa kupata kipigo maana ni kama hiltler wa tanzania kwa kuendesha migomo yenye kuumiza wananchi. Pia amesisitiza waliompiga ulimboka walikuwa na jezi "magwanda" kama ya chadema.
Tumshukuru huyu mama kwa kubainisha.
Mbunge stella amesema wazi chadema wanahusika na migomo ya madaktari, pia amesema mungu amemuepusha ulimboka kwa kupata kipigo maana ni kama hiltler wa tanzania kwa kuendesha migomo yenye kuumiza wananchi
Mbunge stella amesema wazi chadema wanahusika na migomo ya madaktari, pia amesema mungu amemuepusha ulimboka kwa kupata kipigo maana ni kama hiltler wa tanzania kwa kuendesha migomo yenye kuumiza wananchi
huyu mama naona kutumwa na CC
Kwa hiyo mkuu tume ya katiba .. kipigo cha ulimboka ni kama movie ilipangwa na cdm...
Huyu mwenyekiti wa Leo ndio anafaa kuwa spika, kwani hapendi upuuzi wa wapinzani wasio jua kanuni
Usishangae dada yangu, hawa watu wameamua kuvuruga makusudi
ili wananchi wasijue kinachoendelea kuhusiana na Dr. Ulimboka.
Inavyoonekana huu ni mpango kabambe wa kuwachonganisha
Chadema na wananchi kama walivyofanikiwa kuwachonganisha
madaktari...