MANI
Platinum Member
- Feb 22, 2010
- 7,320
- 6,376
NAFURAHIA SANA MICHANGO YA KILA MMOJA WENU KWENYE HII THREAD JAMANI!
Sikujua kama tuna wataalam wote hawa wanaoweza kukidhi kiu yetu ya kutaka kujua undani wa hili tatizo sugu la umeme!
Nadhani tumejifunza kwamba kama tutawatambua wataalam wetu humu JF na kuwalenga moja kwa moja kwa heshima kama ilivyofanyika kwenye thread hii basi tutafaidika sana!
Hatutafaidi kama tutarusha "makombora" bila mwelekeo, ndio mwanzo wa kukaribisha yale mazungumzo ya utani befitting jukwaa la Chit Chat.Hili halijajitokeza kwenye hii mada huenda ni kwa vile hakuna asiyeguswa na hili tatizo.
Hongereni nyote wasomaji na wachangiaji... tuendeleeni tafadhali!
Nawe hongera kwa kuleta hii mada maana wengi wetu tumejua tatizo ni nini.