Gaijin
JF-Expert Member
- Aug 21, 2007
- 11,812
- 5,284
Engineeer
Nadhani unakosea ukisema mgao hauimpact sana viwanda.. Mgao unaimpact sana viwanda kunaw watu wanakosa ujira na kazi sabbau ya umeme. Ile kasumbua kutoa umeme viwandani asubuhi na kuzuima usiku ni siasa. Kuna vinwada vingi operation zake ni 24 hrs. Kuna jamaa uswazi niko nao hawaendi kwenye ujira wao wa siku zao wananiambia sababu ya umeme.
Alafu niliwai kusikia maleezo tarrif za umeme wa viwandani ni nafuu zaidi kuliko umeme wa majumbani. Je hili ni kweli. ?
Still haimake sense kuwa ati Tanzania inategemea viwanda kisha ukaambiwa Japani inategemea domestic, na ndo maana Tanzania viwanda havikatiwi umeme!
Kwanza dhana nzima haipo sahihi, ukiangalia energy use profile ya Tanzania utaona kuwa peak demand is from 1800hrs-2300hrs (From Tanesco report to EWURA). Na hiyo profile haibadiliki ama siku za kazi ama weekend. Ikimaanisha kuwa wateja wa domestic ndio wanaosababisha peak wanapowasha taa wakati wa usiku (because there is no peak in early morning before work). Pia hakuna peak wakati wa mchana ikimaanisha kuwa viwanda sio vyenye demand kubwa.
Labda tungedhani dhana hiyo inatokana na mapato, lakini bado makusanyo ya revenue kutoka kwa D1 na T1 ni makubwa
* Wateja wa viwandani wanatozwa bei ndogo kwa consumption-kWh ya umeme kuliko wateja wa majumbani, lakini wao wanatozwa na bei ya demand-kVA pia