Mtazamaji
JF-Expert Member
- Feb 29, 2008
- 5,937
- 1,437
But Nsiade kwa TANESCO ingekuwa inakwneda na wakati basi sbababu wnachi wengi wanaitegemea ingeanzisha kitengo cha Solar Installtion Yaani watu wanaotoka kuungaishiwa umeme wanapewa option mbili ya kucgaua. So far UKienda Tanseco hupwei ushauri huu wala hawana kitengo hicho. Why ?
Na je umeona hoja zangu je tanesco hawana contigeny plan. Ttaizo na maji kuungua is natural disaster? i tuna mamlaka ya hali ya hewa. Mbona vitu vingine vinakuwa ama ni vya ghafla?
Na je umeona hoja zangu je tanesco hawana contigeny plan. Ttaizo na maji kuungua is natural disaster? i tuna mamlaka ya hali ya hewa. Mbona vitu vingine vinakuwa ama ni vya ghafla?