Beatrice Kamugisha
JF-Expert Member
- May 18, 2019
- 762
- 6,980
Mara nyingi ukiona manaibu Waziri waliokuwa wamekaa kimya wanajitokeza na kutoa press Basi nidalili za kuamsha dude wasijeonekana wamepwaya.
Unakumbuka mjadala mkubwa unaoendelea mitandaoni baada ya kuteuliwa kwa mbunge stagomena Tax Ni juu ya mabadiliko ya baraza la Mawaziri.
Kipindi chote Mwigulu amekuwa msemaji mkuu lakini press ya leo amemwachia Masauni, katika Hali kama hii ndipo ulipozaliwa usemi wa madaraka matamu lakini yanapita.
Niwatakie amani ya moyo mnaoumizwa na mabadiliko yanayotegemewa, jitahidini huko muendako mkachape kazi mtaonekana tena
Unakumbuka mjadala mkubwa unaoendelea mitandaoni baada ya kuteuliwa kwa mbunge stagomena Tax Ni juu ya mabadiliko ya baraza la Mawaziri.
Kipindi chote Mwigulu amekuwa msemaji mkuu lakini press ya leo amemwachia Masauni, katika Hali kama hii ndipo ulipozaliwa usemi wa madaraka matamu lakini yanapita.
Niwatakie amani ya moyo mnaoumizwa na mabadiliko yanayotegemewa, jitahidini huko muendako mkachape kazi mtaonekana tena