Wakati wa Kampeni Engineer Gernvance Lwenge alikuwa anawambia wananchi wa Wanging'ombe kuwa wampe kura ili apate kuteuliwa uwaziri ili apate kuteuliwa na Mangufuli kuwa waziri wa ujenzi .
Lwenge aliwahi kufanya kazi Tanroad hivyo alikuwa anatamba kuwa Mangufuli ni rafiki yake sasa Nafasi ya waziri ujenzi hadi sasa ipo wazi Mangufuli anasema hajapata mtu sasa Lwenge amechanganyikiwa
Mgeni rasmi Naibu Waziri wa Wizara ya Ujenzi, Mhandisi Gerson Lwenge, akitoa hotuba ya kufunga Maadhimisho ya Wiki ya Nenda kwa Usalama Barabarani leo yaliyokuwa yakiadhimishwa Kitaifa katika Uwanja wa CCM Kirumba, jijini Mwanza. Wa pili kulia ni Naibu Waziri wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi na Mwenyekiti wa Baraza Usalama Barabarani, Pereira Ame Silima, kulia ni Kamanda wa Polisi Kikosi cha Usalama Barabarani, DCP Mohamed Mpinga. Kauli mbiu ya Maadhimisho ya mwaka huu ni "USALAMA BARABARANI UNAANZA NA MIMI, WEWE NA SISI SOTE". Picha na Felix Mwagara, Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi.
Lwenge aliwahi kufanya kazi Tanroad hivyo alikuwa anatamba kuwa Mangufuli ni rafiki yake sasa Nafasi ya waziri ujenzi hadi sasa ipo wazi Mangufuli anasema hajapata mtu sasa Lwenge amechanganyikiwa
Mgeni rasmi Naibu Waziri wa Wizara ya Ujenzi, Mhandisi Gerson Lwenge, akitoa hotuba ya kufunga Maadhimisho ya Wiki ya Nenda kwa Usalama Barabarani leo yaliyokuwa yakiadhimishwa Kitaifa katika Uwanja wa CCM Kirumba, jijini Mwanza. Wa pili kulia ni Naibu Waziri wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi na Mwenyekiti wa Baraza Usalama Barabarani, Pereira Ame Silima, kulia ni Kamanda wa Polisi Kikosi cha Usalama Barabarani, DCP Mohamed Mpinga. Kauli mbiu ya Maadhimisho ya mwaka huu ni "USALAMA BARABARANI UNAANZA NA MIMI, WEWE NA SISI SOTE". Picha na Felix Mwagara, Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi.