Mphamvu
JF-Expert Member
- Jan 28, 2011
- 10,702
- 3,288
nakubali sana huyu jamaa kwa michango yake humu JF, ila nikasikitika nilipogundua kuwa amebadili utambulisho wake kutoka 'WABEROYA' ambaye alikuwa maarufu kwa kuwa na misimamo inayoyumba hasa kuhusu siasa za wenye inji. Amekuwa nyoka wa zamani mwenye magamba mapya.
Huu ni uchunguzi binafsi ambao hauna uhusiano na ule wa JB wa JF.
Huu ni uchunguzi binafsi ambao hauna uhusiano na ule wa JB wa JF.