Energysex ndio inayofanya wanaume kuwa wahuni

tusionacho

JF-Expert Member
Nov 23, 2016
274
514
Hii inatokea pale mwanaume anafanya mapenzi mshindo mmoja tu na kufanya ile nguvu ya mapenzi kubaki mwilini, yaani ni hivi unakuta mwanaume katoka kufanya mapenzi lakini baada ya muda kupita kidogo anapata hamu kali zaidi kuliko awali mfano dereva anatoka dar anafika chalinze sababu ya uchovu anafanya mshindo 1 anafika mikumi anafanya mshindo 1 anafika iringa mjini mafinga na nk.

Hii inasababishwa na: Mwanamke kushindwa kumsaidia mwanaume aanzishe raundi nyingine upungufu wa nguvu za kiume uchovu kukosa mda wa kutosha
 
Kwa hiyo mkuu kitaalamu tunafanyaje ili twende sawa
Wanawake wengi wanashindwa mbinu za kuanzisha nguvu mala baada ya mshindo wa kwanza pia kula nafasi kwahitaji nafasi fanya mazoez ya kutosha husaidia mzunguko wa kutosha wa damu epuka kunenepa na mpangilio mzuri wa chakula kunywa maji mengi
 
Wanawake wengi wanashindwa mbinu za kuanzisha nguvu mala baada ya mshindo wa kwanza pia kula nafasi kwahitaji nafasi fanya mazoez ya kutosha husaidia mzunguko wa kutosha wa damu epuka kunenepa na mpangilio mzuri wa chakula kunywa maji mengi
ok mkuu
 
Back
Top Bottom