YEHODAYA
JF-Expert Member
- Aug 9, 2015
- 36,908
- 51,904
Sehemu pekee Tanzania ambako wabunge wote wa CCM na upinzani hukubaliana Mia kwa mia ni eneo la posho zao bungeni
Kwenye hilo kuna muafaka wa kitaifa bungeni wa vyama vyote
Mtu akisema hakuna muafaka wa kitaifa wa vyama vya kisiasa mwambie sio kweli kwenye posho bungeni na marupurupu muafaka upo
Kwenye hilo kuna muafaka wa kitaifa bungeni wa vyama vyote
Mtu akisema hakuna muafaka wa kitaifa wa vyama vya kisiasa mwambie sio kweli kwenye posho bungeni na marupurupu muafaka upo