bucho uzeni haraka kabla ya hoja ya Mh. Halima Mdee haijajadiliwa katika kikao cha Bunge lijaloeneo linauzwa burka estate block a ( satelite city ) urefu hatua 70 na upana hatua 40. bei ni 75m ila maongezi yapo kwa mtu aliye serious . kwa mawasiliano zaidi tuma PM
eneo linauzwa burka estate block a ( satelite city ) urefu hatua 70 na upana hatua 40. bei ni 75m ila maongezi yapo kwa mtu aliye serious . kwa mawasiliano zaidi tuma PM
bucho najua una "documents" halali lakini tulioomba ni wengi, mimi nililipia formu tano za maombi sasa kwani wewe upate mpaka vya kuuza wakati wengine walihitaji kweli kwa ajili ya makazi ya familia zao?mkuu kwani hili eneo lina proper documents , kwahiyo sina hata chembe ya wasiwasi .
bucho najua una "documents" halali lakini tulioomba ni wengi, mimi nililipia formu tano za maombi sasa kwani wewe upate mpaka vya kuuza wakati wengine walihitaji kweli kwa ajili ya makazi ya familia zao?
bucho uza tuu baba mimi niko mitaani tuu siko serikalini wala sina sauti kwenye chama chochote kwa hiyo usihofumkuu sio mimi naliuza ila ni mtu wa karibu ndio analiuza . amepata matatizo inabidi aliuze maana ndio asset pekee aliyokuwanayo.