lipo mbezijuu unashuka tankibovu dakika ishirini mpaka kwenye eneo, maji yapo umeme upo lipo kwenye makazi ya watu aliyesirious anitumie sms 0689315582, bei haishuki hata kidogo.
lipo mbezijuu unashuka tankibovu dakika ishirini mpaka kwenye eneo, maji yapo umeme upo lipo kwenye makazi ya watu aliyesirious anitumie sms 0689315582, bei haishuki hata kidogo.
Dakika za kutembea zinategemea kama mtu unatembea haraka au polepole hivyo zinaweza kubadilika, kwanini usiweke vipimo vya kilometre ambavyo havibadiliki??
Mbezi juu huwezi kuta eneo la 20x20 kwa million 6 labda liwe jirani sana na bonde la mto mbezi jirani na gold star au labda vile viwanja nyuma ya kituo cha uoga kama unaenda goba ambavyo vinamgogoro miaka nenda rudi. goba sasa hivi kiwanja cha hivyo upati chini 10m labda kiwe uswekeni sana.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.