johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,840
- 141,761
Haya ni maendeleo makubwa kwa wananchi kuanza kuelewa maana ya hatari na kuikimbia badala ya kuikimbilia.
Mwaka 1998 ulipolipuliwa ubalozi wa Marekani eneo hilo hilo alilokuwa anatamba Hamza jana wananchi kutoka maeneo ya jirani walikuwa wanakimbilia eneo la tukio kadri milipuko ilipoongezeka ili kushuhudia kwa macho yao.
Jana ilikuwa tofauti maana hata madereva waliacha magari yao na kukimbilia kusikojulikana.
Labda ni kwa sababu ya teknolojia.
Mungu ni mwema wakati wote!
Mwaka 1998 ulipolipuliwa ubalozi wa Marekani eneo hilo hilo alilokuwa anatamba Hamza jana wananchi kutoka maeneo ya jirani walikuwa wanakimbilia eneo la tukio kadri milipuko ilipoongezeka ili kushuhudia kwa macho yao.
Jana ilikuwa tofauti maana hata madereva waliacha magari yao na kukimbilia kusikojulikana.
Labda ni kwa sababu ya teknolojia.
Mungu ni mwema wakati wote!