Eneo laikwaza Moshi kupandishwa kuwa Jiji

Hoja dhaifu Sana ebu mniambie jiji la Helsinki Ina km ngapi au jiji la Mbabane. Sometimes uregionalism unatu cost .
Tatizo maendeleo waliyonayo watu wa moshi yanawatoa povu sana ndo maana zinatolewa sababu za mbayuwayu. Hushangai kwanini hata uwanja wa ndege wa KIA hautajwi tena kwenye mpango wa kuimarisha viwanja vikubwa? Sasa hivi wanakwambia ni JNIA, Mwanza na Dodoma ila KIA nooo... Hahaha dah!
 
Swala sio kuijua kilimanjaro ni moshi haijafikia vigezo vya kuwa jiji kwa kigezo cha ukubwa eneo na kiwango kinacho takiwa ni km mraba 132 na moshi ina km 58 ni tofauti dodoma ipo tayari kwa hadhi jiji
 
Wewe umeona makaburi yametapakaa wapi moshi? Tatizo ni watu mnapenda kuuza ardhi hovyohovyo tu kisa mji ukue. Leo hii wakazi wa vijiji vinavyozinguka mji wa moshi wakisema wauze ardhi ya mashamba yao kwa kigezo cha kukuza mji tutapoteza ardhi ya asili, utamaduni na desturi zetu zitaathiriwa kwa kiasi kikubwa pamoja maliasili ya misitu ya mlima kilimanjaro vitaathirika kwa kiasi kikubwa maana kutakuwa na ongezeko la idadi ya watu. Ishu si makaburi, kila mahali watu wanakufa na wanazikwa, au wewe ulitaka wakazikwe wapi na unajua serikali haijatenga maeneo ya kudumu ya kuhifadhi marehemu maeneo yaliyotengwa hapo awali leo ndo yanapitishwa greda kufanya shughuli wanazoita za maendeleo. Hatuuzi ardhi yetu ng'oo na kama unataka mji wa moshi ukue mkagawe viwanja kuelekea kahe, tpc na huko mbali lakini siyo mlimani. Unataka iwe jiji na vijiji vyetu vitokomee tukose mahali pa kufanyiwa sensa?? Hiyo labda serikali ya mtukufu iamue makusudi kutudhoofisha wanamoshi kama tuonavyo.
Mfumo wa umiliki ardhi wa Moshi kwa kuweka makaburi kila kihamba ili kulinda au kuzuia uuzwaji ardhi ni mbovu.
 
Tunaombwa mwenye kuweza kutujulisha faida na hasara zakuwa au kutokua jiji
 
nimekufuatilia sana nimegundua unatakiwa uonane na daktari hospitali moja hivi ipo dodoma
Unajua KILIMANJARO ulilipuka mara ya mwisho lini?unajua bonde la ufa matetemo yanaongezeka.inamaana afrika inagawanywa mara mbili,sasa kaa ujue mlipuko wa kilimanjaro utakuja tokea siku moja.
 
Unajua KILIMANJARO ulilipuka mara ya mwisho lini?unajua bonde la ufa matetemo yanaongezeka.inamaana afrika inagawanywa mara mbili,sasa kaa ujue mlipuko wa kilimanjaro utakuja tokea siku moja.
Sijakataaa ila kilichonishangaza kutoka kwako ni hii hoja yako uliotumia ya kuona kuwa moshi haipaswi kuwa jiji,,,kwa kigezo hicho hata dar es salaam isingepewa hadhi ya jiji kwa kuhofia kuna siku itatokea tsunami na kuusambaratisha kila kilichomo
 
Unajua KILIMANJARO ulilipuka mara ya mwisho lini?unajua bonde la ufa matetemo yanaongezeka.inamaana afrika inagawanywa mara mbili,sasa kaa ujue mlipuko wa kilimanjaro utakuja tokea siku moja.
Sijakataaa ila kilichonishangaza kutoka kwako ni hii hoja yako uliotumia ya kuona kuwa moshi haipaswi kuwa jiji,,,kwa kigezo hicho hata dar es salaam isingepewa hadhi ya jiji kwa kuhofia kuna siku itatokea tsunami na kuusambaratisha kila kilichomo
 
Sijakataaa ila kilichonishangaza kutoka kwako ni hii hoja yako uliotumia ya kuona kuwa moshi haipaswi kuwa jiji,,,kwa kigezo hicho hata dar es salaam isingepewa hadhi ya jiji kwa kuhofia kuna siku itatokea tsunami na kuusambaratisha kila kilichomo
Faida za kukaa karibu na bahari ni kubwa,kulinganisha na kukaa chini ya TANURI LA VOLCANO iko siku hilo kijiji la moshi litakuwa POMPEII ya afrika.
 
Nadhani kua jiji eneo sio kigezo kikubwa. Ingekua hivyo Tabora, Morogoro zingekua za kwanza kua majiji hapa nchini.
 
Tatizo maendeleo waliyonayo watu wa moshi yanawatoa povu sana ndo maana zinatolewa sababu za mbayuwayu. Hushangai kwanini hata uwanja wa ndege wa KIA hautajwi tena kwenye mpango wa kuimarisha viwanja vikubwa? Sasa hivi wanakwambia ni JNIA, Mwanza na Dodoma ila KIA nooo... Hahaha dah!
Acha uongo wewe... KIA ilikuwa inaboreshwa...
 
Back
Top Bottom