Ni Eneo la Hekari 50 lililopo Tonga malenga (Ruaha IRINGA).Unaweza kulitumia kwa kujenga sehemu ya watalii (Camp site) kwa sababu wanyama toka mbuga ya Ruaha (Ruaha National park ) hua wanatembea mpaka hapo. ..Vibali vyote Vipo. ..BEI 75mil
Kwa Mnunuzi aliye Serious Nitafute kwa No:+255 717 631 609