Wakuu linatafutwa eneo linalopakana na barabara ya Morogoro eneo la Kibaha lenye ukubwa wa heka 3 au zaidi kwa ajili ya kufungua yard. Tafadhali kama kuna mtu anafahamu upatikanaji wake atupie details au mawasiliano hapa.
Natanguliza Shukrani
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.