Lord denning
JF-Expert Member
- Jun 3, 2015
- 13,226
- 26,048
- Thread starter
- #21
Nyerere mwenyewe alikuja kugundua badae kuwa alikuwa kiongozi mbovu maana alipinga mawazo mazuri kwa mabavu. Ukisikiliza hotuba zake za mwishoni ni kama alikuwa akijutia sana makosa yake.Leo hii ingawa wengi wanamsifu nyerere Ila kwa watu Wenye akili wote wanajua chanzo kikuu cha Tanzania kufeli ni sera mbovu za ujamaa za Mwalimu nyerere zilizopingwa na Kambona hadi kupelekea kukimbia Nchi.
Lord denning hapa umemaliza kila kitu mtu ukiwa makini utagundua Teacher alikuwa mwepesi sana.
Sent using Jamii Forums mobile app