Hakuna duniani mtu anayeweza kulipa kodi HALALI bila shurti,ikiwa trump bilionaire anashindwa kuwa mkweli kwenye kodi nani yuko tayari. Hata nchi zilizoendelea watu hulipa kodi kwa kubanwa tu . Short of that serikali icheze na nyani shamani ivune mabua.Hakuna mfanyabiashara anaependa kulipa kodi popote pale ata iwe America! Kama wakina Ronaldo na Messi walikutwa na hatia ya ukwepaji kodi kwa kuto wasilisha taarifa sahihi sembuse huku kwetu?