Papushikashi
JF-Expert Member
- Feb 28, 2016
- 10,708
- 12,789
yule mkulu aka sizonze, kipara ngoto, phd feki, baba bashite,front fent,baba kishukuna nkSijui unamuongelea.
yule mkulu aka sizonze, kipara ngoto, phd feki, baba bashite,front fent,baba kishukuna nkSijui unamuongelea.
Nahisi CHILAWADU MKUU unamjua lakini unapotezea.Gwajima Shilawadu yule. Na wafuasi wa kanisa lake wote ni wapenda umbea wenyewe wanaita Ubuyu
HALI YAKE MBAYA NA ANAMILIKI ZAIDI YA 4M U.S.D SS WW ENDELEA KUSHABIKIA HALI MBAYA ZA WA2 NA NI MATAJIRI WA KUTUPWA PIGA KAZI ACHA USHABIKI WA KIJINGANdiyo maana aliwahi kuomba msamaha mapema, ila sasa nyota imefubaa sijui maana hali yake mbaya...
Mkuu hiki ulichouliza kilishawahi kuongelewa na mwanasiasa mmoja ambaye inasadikika na yy yumo tena hapahapa tanzania ss ukijaribu kuwaelezea wa2 wanakaza ubongo HUYU M2 ANALETA SIASA KWENYE DINI ILI APATE WAFUASI duh ama kweli dini zimekuwa biasharaGwajima Kiukweli Kawashika akili wajinga du!!
Hivi utamjuaje Frmsn wewe ukiwa si frmsn!!
Huu uhuni Ni wapuuzi utawaingia akilini
Uambiwe nn mkuu na wakati utajiri wake wote ulishahesabiwa na yy mwenyewr akaaaaprove we endelea kumchukia m2 anayeingiza 20m per weekUkiziona uniambie.....
Siwezi kumchukia mtu anaetafuta pesa, mimi natafuta Kwa nilivyojaaliwa....Uambiwe nn mkuu na wakati utajiri wake wote ulishahesabiwa na yy mwenyewr akaaaaprove we endelea kumchukia m2 anayeingiza 20m per week
povuuuHuyu ni freemasaon kbsa haijifichi..Huyu dogo ni mpumbavu sana kanikera sana kua upande vyeti feki
Gwajima ni shetani kisio ogopa Mungu .Huyu Gwajima ni muongo Hana hata aibu kutumia nyumba ya Mungu kudestroy vitoto vidogo ambao tumewaona wanafanya kazi kwa bidii usiku na
Mchana
Du Huyu Ghost ambaye amevaa ngozi ya kondoo
Nilimshtukia tangia issue ya Bashite. Even though sikubaliani na Bashite kudanganya kwenye vyeti Lkn Huyu Gwajima ni no no