Given Edward
JF-Expert Member
- Jan 11, 2011
- 850
- 202
Hata hivyo mkuu ulivyokuja kwa kasi namna hii (mpaka unahema juu juu..) ina maana hapo mwanzo ulikuwa unaamini haya? mbona yalishapita mda tuu!!? Pole sana.....kunywa maji basi kidogo ushushe presha hiyo...!!!
mkuu nina plans nyingi sana kufa mwakani.