GIUSEPPE
JF-Expert Member
- Dec 31, 2011
- 5,239
- 6,196
Ndege imegonga mlima huko Empakai Ngorongoro, imeua abiria 11 akiwemo rubani mmoja. Hii ni ndege ya pili kwa kampuni hiyo kuanguka ndani ya kipindi cha miezi miwili.
Hii nyingine ilitokea mwezi uliopita lakini haikuua.
Ndege yaanguka Serengeti na kujeruhi watalii wawili na rubani mmoja
Pamekuwa nashida kwa marubani wageni kwa ukanda huu haswa wanaporuka kwenye low altitude kwenye bad weather, eneo hili lina milimamilima kama hali ya hewa ikiwa mbaya (Low visibility) linakuwa ni eneo la hatari sana.
Hii nyingine ilitokea mwezi uliopita lakini haikuua.
Ndege yaanguka Serengeti na kujeruhi watalii wawili na rubani mmoja
Pamekuwa nashida kwa marubani wageni kwa ukanda huu haswa wanaporuka kwenye low altitude kwenye bad weather, eneo hili lina milimamilima kama hali ya hewa ikiwa mbaya (Low visibility) linakuwa ni eneo la hatari sana.
Mabaki ya ndege