Mafiningo JF-Expert Member Sep 5, 2016 4,436 4,646 Jun 4, 2021 #1 Siipendi hii emoj kuitumia na inaniudhi sana mtu akiitumia kwangu. Kwa anayejali hisia zangu please, asiweke hii emoj kwenye post yangu. Mimi binafsi sitaiweka kwa post ya mtu yeuyote. Amen.
Siipendi hii emoj kuitumia na inaniudhi sana mtu akiitumia kwangu. Kwa anayejali hisia zangu please, asiweke hii emoj kwenye post yangu. Mimi binafsi sitaiweka kwa post ya mtu yeuyote. Amen.
nkumbison JF-Expert Member Sep 22, 2013 2,183 2,928 Jun 4, 2021 #4 Usingeiweka kwenye Post yako. Imenikera sana nahisi ni zaidi yako.
kenshi JF-Expert Member Jul 12, 2015 1,966 1,952 Jun 4, 2021 #6 Pole dada Mafiningo utaizoea wajumbe wakianzaa kuiweka kwenye huu uzi wako
mjombakim JF-Expert Member Sep 10, 2017 1,193 1,851 Jun 4, 2021 #7 Hizi una zipenda au una zichukia pia 💰💶💷