Heh! waziri wa mambo ya ndani amelitangazia taifa kuwa Zanzibar kuna magaidi na kwamba wanafanya mpango wa kupata msaada wa kiitelijensia toka nchi zilizoendelea kuwapata magaidi hao waliomuua mtumishi wa Bwana Padre Mushi (RIP) leo asubuhi.
Hii tabia ya mawaziri wa JK ya kukurupuka inalitia aibu taifa. Ni afadhali kama angekaa kimya. Ni vizuri angetambua kuwa haongei na wazee wa Dar es salaam, wale wanaopewa nguo za kijani bure..
Emmanuel, huhitaji hata askari wa cheo cha Inspector wa Tanzania kuwakamata waliomuua padre. Wafadhili wa wauaji mnawafahamu vizuri sana. Hamkutaka tu kusghukikia swala hili kuanzia mwaka jana alipopigwa risasi padre wa kwanza. Wauaji wanweza kukamatwa na hata polisi jamii bwana Nchimbi. Wanafahamika sana. Sasa kajipange upya uje na filamu nyingine.
Hatuhitaji wauaji, hao ni vijana tu waliokosa ajira katika serikali hii ya kikwete, na sasa wanatumika vibaya. Ungetueleza nani alikamatwa tukio la kwanza, nani anafadhili udhalimu huo na hatua gani kama serikali mlichukua baada ya hapo kukomesha tabia hiyo.
Wimbo wako hauuziki.
Hii tabia ya mawaziri wa JK ya kukurupuka inalitia aibu taifa. Ni afadhali kama angekaa kimya. Ni vizuri angetambua kuwa haongei na wazee wa Dar es salaam, wale wanaopewa nguo za kijani bure..
Emmanuel, huhitaji hata askari wa cheo cha Inspector wa Tanzania kuwakamata waliomuua padre. Wafadhili wa wauaji mnawafahamu vizuri sana. Hamkutaka tu kusghukikia swala hili kuanzia mwaka jana alipopigwa risasi padre wa kwanza. Wauaji wanweza kukamatwa na hata polisi jamii bwana Nchimbi. Wanafahamika sana. Sasa kajipange upya uje na filamu nyingine.
Hatuhitaji wauaji, hao ni vijana tu waliokosa ajira katika serikali hii ya kikwete, na sasa wanatumika vibaya. Ungetueleza nani alikamatwa tukio la kwanza, nani anafadhili udhalimu huo na hatua gani kama serikali mlichukua baada ya hapo kukomesha tabia hiyo.
Wimbo wako hauuziki.