Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwahiyo Huyo mtoto mwingine Emma ndio anasema ni wake na sio wa kusekwa coz alindoka na mimba?Noo anamtoto ,,kati ya huyu na yule wa kwanza,,
Yaniii, ,Emmanuel na flora walikua na mtoto mmoja ,Wakati wa lile limbwili Lao flora alikua mjamzito hata kabla ya talaka na wako bado ndani ya ndoa. Ila mpaka wanaachana,flora alikaa kdg akajifungua ila akasema mtoto sio wa Emma .Kwahiyo Huyo mtoto mwingine Emma ndio anasema ni wake na sio wa kusekwa coz alindoka na mimba?
Sawa nishamkumbuka wakasema mtoto kafanana na GWAJIMA.Yaniii, ,Emmanuel na flora walikua na mtoto mmoja ,Wakati wa lile limbwili Lao flora alikua mjamzito hata kabla ya talaka na wako bado ndani ya ndoa. Ila mpaka wanaachana,flora alikaa kdg akajifungua ila akasema mtoto sio wa Emma .
Baadaye ndo akaoana na kusekwa na sasa ana new baby ( manake ni wa tatukwa flora)
Wewe kama Mimi,sema tuna tofautiana kidogo,Mimi hata sijaelewa jamaa ni kama design yakina James.Mana mtoto wakiume akijichuna vile sijui anatafuta nini.Najua pengine nitakuwa nje ya mada lakini kusema ukweli sijawahi kumuelewa huyu jamaa... ni mchungaji, mtumishi, mwanamziki, maana huwa yupo uvuguuvugu tu...
Yaki dunia yupo, ya wokovu yupo haeleweki.. halafu show off nyingi sana zisizonamaana!
Amesema aliongea mahakamani na wakili wa Mbasha akamtaka ataje baba wa mtoto akamtaja. Na akasema taingia hapo alikuwa amekwishajua kuwa yule siyo mtoto wake ila alimwambia Flora kuwa yuko tayari waendelee na mtoto yule atamchukua kama mwanaeNamsikiliza Emma mbasha hapa, anasema flora aliondoka na mimba Wakati wanaachana. Na anasema hawezi kumsema baba wa mtoto watu wanahuduma zao kubwa.
Hapa sijamwelewa. Kwann akubali tu mke kumwambia mtoto si wake vipi kama alionngea kwa hasira? Mana yule mtoto kiukweli kafanana sana na Emma.
NDOA ZINA MAMBO
Hakuwa na nia ya kuyazungumzia na kusema kweli kajitahidi sana kukwepa maswali ila waliokuwa wanamhoji sasa full kumchimba sana tatizo naye akichimbwa sana anaongea kidogoHuyu jamaa vipi..? Si akae kimya endelee na maisha yake...! Umario mbaya sana
Huyu jamaa vipi..? Si akae kimya endelee na maisha yake...! Umario mbaya sana
Yani jamaa anaonekana natapatapa....anajichoresha sana...yeye ndo inaokana alikuwa shida kwa floraAnahangaika sana huyu boya nae, siku nini kinamsumbua au kutafuta kiki tu.
Huyu Mnyisanzu hovyo kweli!Emma Mbasha atulize wenge,Flora aliondoka zamani sana kwake zaidi ya miaka miwili hayupo nae,sasa hiyo mimba wakati anaondokoa miaka miwili iliyopita ndio kajifungua mwezi huu?
ila chonde chonde ndugu usimuingize askofu kwenye hii ligi tafadhari
Gari vipi? Nayo ya kike kama IST, Porte, Vitz nk teh teh tehBado kuvaa nguo za rangi za kike,mwanaume anavaa pink?? Yellow?
pimpBado kuvaa nguo za rangi za kike,mwanaume anavaa pink?? Yellow?
hahahaahaaha
Huyu ndo MzeeBaba au sio!?
kiki za punda mjiniNajua pengine nitakuwa nje ya mada lakini kusema ukweli sijawahi kumuelewa huyu jamaa... ni mchungaji, mtumishi, mwanamziki, maana huwa yupo uvuguuvugu tu...
Yaki dunia yupo, ya wokovu yupo haeleweki.. halafu show off nyingi sana zisizonamaana!