Queenever
JF-Expert Member
- Aug 16, 2017
- 2,051
- 3,005
Namsikiliza Emma mbasha hapa, anasema flora aliondoka na mimba Wakati wanaachana na anasema hawezi kumsema baba wa mtoto watu wanahuduma zao kubwa.
Hapa sijamwelewa kwanini akubali tu mke kumwambia mtoto si wake vipi kama alionngea kwa hasira? mana yule mtoto kiukweli kafanana sana na Emma.
NDOA ZINA MAMBO
Hapa sijamwelewa kwanini akubali tu mke kumwambia mtoto si wake vipi kama alionngea kwa hasira? mana yule mtoto kiukweli kafanana sana na Emma.
NDOA ZINA MAMBO