Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,609
- 218,032
Huyu kijana ni Katibu wa Chadema kanda ya Nyasa , Mwenyekiti wake anaitwa Msigwa ambaye ni Mbunge wa Iringa Mjini , aliwahi kufungwa gerezani kwa kifungo cha uonevu cha Maagizo kutoka juu pamoja na Mbunge wa Mbeya Mjini Joseph Mbilinyi .
Ni mwenyeji wa Njombe Mjini na hivi tunavyoongea anashikiliwa na jeshi la Polisi Mkoa wa Njombe kwa amri ya RPC , bado haijafahamika kwanini anaogopwa kwa kiwango hiki .
Je huyu kijana ni nani hasa ?
Ni mwenyeji wa Njombe Mjini na hivi tunavyoongea anashikiliwa na jeshi la Polisi Mkoa wa Njombe kwa amri ya RPC , bado haijafahamika kwanini anaogopwa kwa kiwango hiki .
Je huyu kijana ni nani hasa ?