Emmanuel Buhohela: Hatuna taarifa rasmi kuwa Uingereza ilipiga marufuku wasafiri kutoka nchini Tanzania kuingia nchini humo

Ni kweli kwamba serikali haifanyii kazi taarifa za kidiplomasia kupitia mitandaoni.

Serikali inayo ofisi katika wizara ya mambo ya nje ambayo inahusika na masuala kama haya yanayohusu mahusiano ya kidiplomasia.

Pia tunaye mwakilishi wetu katika ubalozi wa nchi yetu huko uingereza.

Pia tunaye balozi wa uingereza hapa nchini ambaye ana iwakilisha nchi hiyo hapa kwetu.
Hivyo vyote ni vitengo mahususi katika upeanaji taarifa nyeti kama hizo kiserikali.

Mitandaoni sio mahali pake.
Jiulize swali dogo....je serkali yetu nayo ikijibu kupitia MITANADAONI.
Ina maana tuanzishe mipasho kwenye mitandao?
Je nini itakuwa umuhimi wa ubalozi?
Mbona inafunga watu kwa habari za mitandao?????????????????????????
 
Back
Top Bottom