Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,956
- 22,138
Wanandugu habari zilizotufikia hivi punde ndege ya EMIRATES iliokuwa iondoke tangu saakuminamoja Imeshindwa kuruka kisa kukosa tool bar ya kusukumia ndege...habari zaidi zinasema kawaida huwa emirates wakibadilisha aina ya ndege huwa wanakuja na toolbar yao..ambayo huwa inaunganishwa mbele ya lile gari la kusukumia ndege....hvi sasa wanasubiri swissair ambayo huja na toolbar yao.......waweze kusukumwa na kuondoka..abiria wote wako lounge wanakula na kusaza hii ni pongezi kwa emirates groundstaff kwa kujali abiria....poleni sana ila engineer anaitajika kuadabishwa kwa hili saababu unapobadilisha equipment ya ndege lazima uwe na toolbar kwenye ndege .....anyway kila la kheri nawapa pole....sana