Eminem ndiye rapper bora kuwahi kutokea, kikwazo ni rangi

Mimi nimeleta mifano ya Nyimbo na ni katoa kabisa mfano wa nyimbo nailink hapa


Nimejaribu kugoogle top hip hop song za siasa even top 50 sijaona hata moja ya Em, zaidi ya moja alioshirikishwa, na free style especially kwenye bandwagon ya kumcritisize trump doesn't count, Hapo nchi Nzima tayari ipo Brainwashed kumchukia Trump, vyombo vya habari na social network hadi wamemfungia, hakuhitaji Guts zozote Kum critisize.

Mkuu, hapo kwenye changes, 2 pac alikuwa na upper hand kwasababu yeye mwenyewe kaimba kama muhusika mlengwa wa kunyanyaswa kwa watu weusi marekani.

Sidhani hat kama eminem angeimba hio changes angeteka hisia za mashabiki kama ambavyo anaimba mtu mweusi.

Kwa kuwa hip hop imetulenga sana watu weusi, ngoma za siasa nyingi za hip hop huwa zinalenga harakati za kumkomboa mtu mweusi na huwa inakua na uhalisia zaidi pale anapoimba mtu mweusi na hapa ndipo eminem hafui dafu

Eminem akikaza kwenye kuimba siasa kumtetea mtu mweusi itakuwa ni sawa na miaka ya 1961 tunavyopambania uhuru kungekwepo na muingereza anaeimba kushinikiza nchi yetu ipate uhuru, hata angeimba vipi, Watazania tungezipa kipaumbele nyimbo za watanzania hata kama ni za kawaida.


Pia Eminem ana limit zake nae kwa ngozi yake, 2 pac na wenzake wanaweza kutumia neno la nigger lakini rangi ya eminem inam limit, ataonekana kawatukana watu weusi, mfano kwenye changes kuna mstari wa "Police Pull the trigger, kill a nigga, he's a hero", Na ikumbukwe hilo neno la nigga linatia msisitizo san kuliko black man, black people, n.k

Kwa hio kuna sehemu kama siasa sidhani ni vyema kumuweka eminem humu,
 
Mkuu, hapo kwenye changes, 2 pac alikuwa na upper hand kwasababu yeye mwenyewe kaimba kama muhusika mlengwa wa ukombozi wa haki za watu weusi marekani.

Sidhani hat kama eminem angeimba hio changes angeteka hisia za mashabiki kama ambavyo anaimba mtu mweusi.

Eminem ana limit zake nae kwa ngozi yake, 2 pac na wenzake wanaweza kutumia neno la nigger lakini rangi ya eminem inam limit, ataonekana kawatukana watu weusi.

Kwa kuwa hip hop imetulenga sana watu weusi, ngoma za siasa nyingi za hip hop huwa zinalenga harakati za kumkomboa mtu mweusi,na hapa ndipo eminem panapom limit, Eminem akikaza kwenye kuimba siasa za kumtetea mtu mweusi ni sawa na huku msanii wa ccm aanze kuimba ngoma za chadema, kwanza hata hamu ya kumsikiliza tu inakuwa ndogo sana.

Kwa hio kuna sehemu kama siasa sidhai ni vyema kumuweka eminem humu,
Japo eminem si mweusi ila yeye pia amestruggle, ameishi hayo maisha ya Ki gheto. Kuna variety nyingi sana za hip hop humo.

Simpangii cha kuimba ila na state tu reality ilivyo.
 
Japo eminem si mweusi ila yeye pia amestruggle, ameishi hayo maisha ya Ki gheto. Kuna variety nyingi sana za hip hop humo.

Simpangii cha kuimba ila na state tu reality ilivyo.
Kwenye siasa za mtu mweusi wa marekani, Issue ambayo ipo juu zaidi ni ubaguzi wa rangi, haki za mtu mweusi, n.k.

Hata chama cha democrats wana kura nyingi za watu weusi kwasababu wana manipulate sana ajenda za ubaguzi ili kufit their own objective ya kupata kura za watu weusi, kunaweza kuwa na debate upande wa republicans wakamweka mtu msomi kama Candace Owens ila upande wa democrats wakamweka msanii wa hip hop ambae hata hana elimu, Candace ataongea mambo ya uchumi, Elimu, Biashara, Familia, n.k ili kumkomboa mtu mweusi ila sasa upande wa pili huko unakuta kila kitu wanachomekea ubaguzi, wanataka walipwe pesa ya babu zao waliolimishwa mashambani, wamestick kwenye blm badala ya kusonga mbele, waataka maendeleo kwa mbinu za kipuuzi za "AFIIRMATIVE ACTION", n.k and guess what?? Democrats wanashinda?? Ukitaka kumu influence mtu mweusi marekani ongelea sana ubaguzi, Haya mambo ya uchumi, elimu, n.k wachache watakuelewa.

Ukiimba vitu nje ya hapo vinakuwa sio ajenda kubwa sana kwa mtu mweusi.

Eminem anaweza kuimba kuhusu uchumi, mishahara, n.k ila bado haya mambo hayafatiliwi sana na watu weusi
 
Mkuu unajua Auto tune? Eminem ametoka kizazi feki na ile sio sauti yake ukimuweka live hawezi kurap vile anatumia sauti fake (Auto tune, distortion, overlap etc) ndio maana hawi regarded kama mwana Hiphop bora.

Kina rakim, 2pac, Nas, B.i.g Jay Z etc wanakuwa regarded kama bora zaidi.
Rakim hatari sana yule mkulungwa watu sijui wanatumia vigezo kumtundika slim shady hayo mavyeo
 
So umeona mkuu? Vyovyote utakavyochagua unarudi pale pale introspective, what Eminem think na sio dunia ipoje.

Sio kwamba hao greats wengine hawana introspective songs, ila pia walikuwa na variety nyingi.

Nimeangalia lyrics kama Nyimbo tano za mwanzo zote ni introspective,
-beautifull jinsi Eminem alivyobattle drugs
-Mockingbird maisha yake na watoto wake
-loose yourself ni maisha ya B rabbit
-when am gone, kama Mockingbird kuhusu mtoto wa Eminem
-you are never over, rafiki yake eminem aliyekufa.

Kidogo hio loose yourself haimhusu yeye lakini ni expected sababu ni movie song.

Hivyo mkuu Eminem ametembea career yake kama Introspective na ndio sehemu ambayo anaijua vizuri na iliomtoa,
Hizo ni Ngoma zangu....
Mimi sio kwamba ndio nyimbo zilizopo.
Na sioni huu mjadala ukifika mwisho, sababu unahusisha mziki ambao ni mapenzi binafsi zaidi ( labda kama kungekuwa na vitu specific tunaangalia).
Vikipatikana vigezo ntaviweka..
 
nikki saizi kwa freestyle hana maajabu, kizazi cha kina cado, frege, toxic nk kipewe heshima yake.

Hawa majamaa wanafanya freestyle ambayo hata hao waliokua wakisifiwa kwa freestyle hawagusi hata robo ya uwezo wao

Nikki mbishi kwenye kuandika ni mzuri, hapo nampa credit lakini linapokuja swala la freestyle hakuna cha marehemu ngwair wala godzilla ambao wanaweza kulingana kiuwezo na kina cado
Nikki anabaki overall sababu anakuoffer vitu vingi sanaa kupitia mziki.
 
sijamwelewa huyo anaesema Eminem anatumia auto tune, yani auto tune Kama T Pain ama alimaanisha Nini?
 
Ukiangalia Technicality(rhyme schemes, wordplay, cadence) Eminem Ni goat lakini hiphop is more than just words twisted in a cool way to make rhymes.

Kuna mambo mengi kama impact,significance and relevance
Hapo ndo wenzake kina big PAC jayZ Kendrick hata jcole wanamzidi .

And btw Eminem anapewa shavu Sana hata Na black Americans Na nahisi akitoka drake hamna rapper anayemfikia Eminem Kwa numbers

Mkuu Drake naye anakimbiza kwenye namba
 
Mkuu kwani haikutosha kumuelezea Eminem na sifa zake zote hadi uwahusishe na kuwaponda Tupac na Biggie?

Huoni kama umeleta ligi ambayo mwisho wa siku mshindi ameshajulikana ni nani.
 
Huwa naona hivyo.....
Watu wanatangulia kukijua kifo chake.....alafu mziki ndio unafuatia.
Kuhusu EMINEM ni aina ya msanii ambaye anakupa kila aina ya radha kwenye rap....
Comedy, siasa, mapenzi, harakati, Majigambo,.....
Yaani vyote vinavyotakiwa kuimbwa.
Hii ni kwenu mliomfahamu baada ya kifo chake, kwa tuliokuwa kunafuatilia rap tokea zile old school za kina Big Daddy Cane, Run DMC, KRS One, Kool Moe Die mpaka wakaja kina LL Cool J(akiwa youngster) hadi kufika generation ya akina Easy E, Dr Dre, Ice T tumemfuatilia Pac tokea anaanza na tuliujua ukubwa wake na kwetu kifo chake kilivuma sana kwakuwa he was the hottest rapper japo lyrics zake za kiharakati ilikuwa ikifanyika jitihada kubwa sana kumshusha(by the 'controllers' of the entertainment industry).
Bila ya politics nyingi za industry Puc angekuwa anahesabika kama 'the undisputed' of all time.
 
Hii ni kwenu mliomfahamu baada ya kifo chake, kwa tuliokuwa kunafuatilia rap tokea zile old school za kina Big Daddy Cane, Run DMC, KRS One, Kool Moe Die mpaka wakaja kina LL Cool J(akiwa youngster) hadi kufika generation ya akina Easy E, Dr Dre, Ice T tumemfuatilia Pac tokea anaanza na tuliujua ukubwa wake na kwetu kifo chake kilivuma sana kwakuwa he was the hottest rapper japo lyrics zake za kiharakati ilikuwa ikifanyika jitihada kubwa sana kumshusha(by the 'controllers' of the entertainment industry).
Bila ya politics nyingi za industry Puc angekuwa anahesabika kama 'the undisputed' of all time.
Unayemdanganya nani?
 
View attachment 1972579

Siwezi kuongea kwa niaba ya watu wenye asili ya africa wote wanaopenda hip hop, wawe wabongo, wamarekani weusi, waingereza , n.k, lakini wacha nitoe maoni yangu, Eminem is the goat (great of all time),

bigie na 2pac walikuwa hot lakini nadiriki kusema vifo vyao vilikuwa vikubwa mno kuliko muziki wao, ni kama Neymar na Mbappe wangetutoka mapema, hakika majina yao yangekuzwa mno kuliko walipo kwa sasa, Watu wangekua wanaamini Neymar na mbappe ndio wangekuwa wanastahili Ballon Dor kila mwaka. Kuijua stable longetivity ya msanii ni kitu muhimu sana,

Kwangu mimi hali ni tofauti, huwa sijali rangi, nachojali ni lyrics, delivery, word play, kucheza na speed, pumzi, nk, na hapa ndipo napojua hakuna msanii wa kumfikia eminem kukitendea miujiza kipaza sauti na kutumia kalamu vizuri kuandaa lyrics amazing.

Sote tunajua hip hop ilitengenezwa na kuchochewa na watu weusi, na hapa ndipo kuna baadhi ya watu wenye hii asili wanakuwa wagumu mno kukubali uhalisia kwamba Eminem ni mzungu na anafanya poa zaidi ya rappers weusi, hisia zinatumika kupinga badala ya kutumia akili kukubali ukweli.

Laiti Eminem angekuwa ni mweusi, basi ni wazi kabisa eminem angechukua ni Michael Jackson wa Hip hop

Pia ukija huku kwenye mitindo huru frreestyles na cyphers, eminem yuko vizuri.

Waliowahi kuingia 18 zake wengi walipotezwa, pengine cheo sahihi cha kumpa Eminem ni "Un-beefwithable"

Nimeweka videos za mnyama anakamua live hapa, karibu kuzicheki






100%.
 
Back
Top Bottom