Kuna mmoja ni mkurugenzi wa shule direct, yule nae huwa naona yuko busy sana na hiyo organisation yake.Mie niwemkweli...labda kwasababu umri ushasonga...Jacy hawez kutoka kimaisha ..yaan namanisha kuwa na umiliki wa pesa zake mwenyew...amejifungia kwenye kibox cha UMJINI...shopping France...alafu unakuwa na marafk km Rio Paul..hb wale wanakisaidia nn jaman?alafu ile circle yao hivi kuna mfanyabiashara wa kueleweka pale? atleast huyu anayetengeneza beads sijui Nasrim