Emelda Mwamanga(BANG) aelezea bifu lake na Jacky pamoja na the late Mengi

Of course....

Ila Madam ana akili fulani hivi ya biashara na kusimamia na kujitegemea at highest level,I don't think that's the case with Jacky!

Infact quiet the contrary!

Jacky's brains will be exposed now since machache kasepa...!

Anaweza kaukiwa hadi zile range zikageuka kua RAV4,haya maisha sio mchezo kabisa!

Let us see

Have mercy on her mkuu...daah...
 
Wanazengo today is Thursday right ? Sio mbaya tukajikumbusha matukio ya nyuma ambayo yaliyokea Ila hayakuwahi kusikika au kuvuma.

Kama wewe utakua ni mdau mzuri wa entertainment , Jina la Emelda mwamanga halitakua geni kwenye your ear drum , namzungumzia Yule CEO wa BANG MAGAZINE, jarida lililokua likifanya vizuri miaka kadhaa iliyopita, please simzungumzii emelda mtema Yule shilawadu wa global publisher msichanganye Ma file wanazengo, huyu ni boss-lady, owner wa BANG MAGAZINE, lile jarida linalopambwaga na lugha ya malkia, najua wambea wenzangu humu wengi ni standard seven and form four leavers so wengi wenu mnaweza msiwe mnalijua🤣( jokes bhana) .

Basi bwana , turudi kwenye mada yetu hot ya Leo , kama mnavyojua au wacha niwajuze kuwa hilo BANG MAGAZINE, ni jarida lililokua linapambwa na Ma celebrities wazito, yani watu wakubwa wakubwa , yani wale mastaa wenye hadhi zao , please sizungumzii akina amber rutty wala Gigy money .

Basi bwana, nakumbuka ilikua ni kipindi kile da jacky Ndo alikua kwenye uchumba hot na the late mengi ( rest in peace), story Yao Ndo ilikua hot in town , kila mtu alitaka kusikia habari za couple hii ya billionare , wanazengo wengi walionekana kuwa fascinated kusikia chochote kutoka kwenye hii couple , lakini unaaambiwa marehemu alikua hataki kuzungumziwa na chombo chochote cha habari kuhusu mahusiano yao , yani unaambiwa mzee baba alikaza ki kweli kwel na mikwara alitoa kama yote.

Basi bwana, inasemekana huyu Emelda alikua na ukaribu na jacky even before she got engaged to mengi , kama mnavyojua jacky was a musician and a model, so they were kind of friends coz pia yeye aliwahi kupamba kwenye jarida la mwanamama huyo ambaye kimuonekano ni mpole na asiye na makuu.

Basi bwana , unaambiwa engagement ikafika, dada jacky akavalishwa Pete ya uchumba, Ila ikumbukwe mambo yalikua yanaenda kisiri siri tu japokua watu walijua, na bahati nzuri au mbaya emelda akapata picha za tukio zima la engagement , Sasa si mnajua bibie akataka kuwaweka akina mengi kwenye jarida lake kwenye ukurasa wa mbele kabisa yani FENTI FODI( in magufuli's voice🤣) au kwa lugha ya malkia iliyonyooka ni FRONT PAGE.

Basi bwana, bibie nadhani alikua kashaanza process za ku print hiyo habari na picha kabisa alikua kaweka kwenye jarida lake , si unajua Tena mambo ya exclusive? Bila shaka angepata mtonyo wa maana na jarida lake kuuza zaidi ikiwa tu deal lake lingeenda sawa.

Maskini Dada wa watu, alijua kwa kuwa wanafahamiana na jacky ofcourse pia mengi alikua anamfahamu coz wote ni wafanyabiashara, alijua kabisa isingekua issue wala nini kutumia picha za love birds Hao kupamba jarida lake, unaambiwa kabla ya ku publish hiyo habari emelda akawapigia simu akina jakcy kuwaambia kuwa watatokea kwenye jarida la BANG MAGAZINE.

Tofauti na matarajio yake maskini , mengi alimjia juu bi dada huyo , akampiga mikwara mizito na kumwambia endapo angejaribu ku publish picha zao kwenye jarida lake , basi angejuta kuzaliwa, yani unaambiwa issue ilikua nzito , ugomvi mkubwa sana , ikabidi Sasa emelda aongee na jacky hili wayamalize.

Emelda anakwambia hilo jibu alilopewa na jacky hatokuja kusahau maisha yake yote na hapo ndo ushoga ukafa, baada ya mikwara ya mengi mpka kesho sijui BANG MAGAZINE liliishiaga wapi, sijui alifirisika au mzee baba alimnyoosha kama alivyoahidi, hayo siyajui.


Basi bwana , kutokana na huo mkasa wa kusisimua, ebu turudi zama hizi Sasa , maana mzee wetu alikua hapendi kabisa mambo ya media na habari zake zilikua Zikienea tu kwenye mitandao ya kijamii, Sasa wanazengo wanajiuliza, ilikuaje mzee baba akaamua kuweka life yake na jacky in public wakat hata baada ya kuoana mzee alikua hataki media ziandike au yeye kuhojiwa kuhusu mke wake na wala mke wake pia?

Hii interview ya jacky ya juzi naweza kusema ilikua her debut interview Toka aanze Kuwa na mahusiano na mengi, yani nowadays walikua so open , so inlove, they didn't care at all about the public eyes , wanazengo wanauliza je kuna usalama?, jacky Ma nyimbo ya Celin dion I will always love you ilikua kama yote, mzee baba akatoa speech ya hatari kwa mke wake

Jamani huu mkasa unasisimua sana, pumzika kwa amani Reginald mengi

Imendikwa na
WARUMI View attachment 1092656
Kazi umbea tu
 
Ila mm niwe mkweli..sitaki kuside kwa Mange au Jacky...jaman..nna mume ndyo...sijawah fiwa na mume sawa nakubali kbs...ila jaman Jacky hata kulia??au ndo udhungu huo jaman...tatizo misiba ya matajri bwana...wanaremba na milipstick na misunglass juu...misiba ya wanyaki bwana wee..au ndo wale wenye uchungu rohoni??aisee...Jacky ameniacha na maswali mno jamn
Weweeeee...! Wanyaki na wewe msukuma wapi na wapi? Au shem mnyaki nini?. Kweli wanyaki wanakuwaga na machungu mpaka wanaume hapo wangelia ”itataaaaa,ijubhaaa,igwamwitu”
 
Weweeeee...! Wanyaki na wewe msukuma wapi na wapi? Au shem mnyaki nini?. Kweli wanyaki wanakuwaga na machungu mpaka wanaume hapo wangelia ”itataaaaa,ijubhaaa,igwamwitu”


Hahahaha Nimeishi nao...tena miaka ile ndo.walidumisha sana utamaduni...km msiba upo mita 500 anaanza kutembelea magoti uso mzma una machozi😂😂...i like tht kwakwel...ww mnyaki nn
 
Hana akili hizo dada yangu!

Simply put!

Akienda humo,kesho asubuhi anarudi mikono mitupu!

tufanye experiment ndogo sana:

Sasa hivi machache keshavuta zake....

Sasa ile ile Amorette ndani ya miezi sita ijayo ni lazima ife au ipunguze operations!

Mark my words!

The bitch is just dumb...

Ila kwa kupiga picha tu za kujianika insta anaweza masikini,and I wonder why,hua anashindana na nani mle?
Niko na wewe labda atapata wafadhili maana ana ile Dr.Ntuyabaliwe foundation!!
 
Mie niwemkweli...labda kwasababu umri ushasonga...Jacy hawez kutoka kimaisha ..yaan namanisha kuwa na umiliki wa pesa zake mwenyew...amejifungia kwenye kibox cha UMJINI...shopping France...alafu unakuwa na marafk km Rio Paul..hb wale wanakisaidia nn jaman?alafu ile circle yao hivi kuna mfanyabiashara wa kueleweka pale? atleast huyu anayetengeneza beads sijui Nasrim
Nasreen ila wengine wasanii tu...
Jack hatotoboa maana hata hyo molocaho bei zake ghaliii...
 
Hilo gazeti lilikufa coz lilikuwa linajiendesha Kwa hasara. Huyo dada asitafute mchawi. Aliua mwenyewe gazeti
Kwa personal management
 
Niko na wewe labda atapata wafadhili maana ana ile Dr.Ntuyabaliwe foundation!!

That Foundation is nonsense....

Bila Machache kuingia kwenye scene,ile foundation it was pretty much a name on a paper!

Huyo Dr. Ntuyabaliwe was just a normal dr mwenye hela below average pale Mbezi Beach(By the way sio Mbezi beach ya ushuani ya baharini,ni ile ya juu ya kimasikini)...na yeye nae alikua chapa ilale sana...

Hakuacha eti wealth to speak of,nothing...

Machache was all the difference maker in every facet!

Ni kwamba,sasa hivi lazima volume ya hela ipungue,na wasipoangalia itapungua big time sana!
 
Hahahaha Nimeishi nao...tena miaka ile ndo.walidumisha sana utamaduni...km msiba upo mita 500 anaanza kutembelea magoti uso mzma una machozi...i like tht kwakwel...ww mnyaki nn
Ahahaaaaa...! Hamia kwenye kabila lao,watakukaribisha tu. Vipi ulivyoishi nao uliwasoma walivyo wakarimu?
 
"I stand to be corrected"

Unaelewa vzuri British and American English? .... Sasa ndugu yangu kiingereza umejifunza kwa ras simba, mwenzio Toka kingergarten( in wema's voice) English medium , halafu Mimi sikariri kiingereza ndugu, kipo kwenye damu , ukitaka kushindana na Mimi utachemka

Kwa kukusaidia nenda ka google I stand corrected na hyo uliyoisema jibu kaa nalo mwenyewe.
 
Unaelewa vzuri British and American English? .... Sasa ndugu yangu kiingereza umejifunza kwa ras simba, mwenzio Toka kingergarten( in wema's voice) English medium , halafu Mimi sikariri kiingereza ndugu, kipo kwenye damu , ukitaka kushindana na Mimi utachemka
Kwa kukusaidia nenda ka google I stand corrected na hyo uliyoisema jibu kaa nalo mwenyewe.

Asante, nimerudi kwenye dictionary na kuona kwamba uko sahihi.

Nisamehe kwa kukukosoa wakati ulikuwa sahihi.

Nimejifunza pia kupitia kwako.
 
Ni kama butwaa fulani hivi hata akilazimisha kulia hawez mpaka ajikumbushe matukio ya huzuni sana ndo analia, baada ya masiku kadhaa ule uchungu ndo utakuja atalia vya kutosha

Kila akipitia gumu alilokua akipata msaada wa mzee machozi yatamwagika vya kutosha.
Yeye nae sijui kwnn ht hakuwa na huruma na mzee wake, ina maana kweli kwa hali ile ya siku za mwisho mwisho za mzee wake hakuona kbs kuwa afya haiko sawa na anahitaji kupumzika?
Kwenye msiba wa Ruge, yule mzee ht kutembea ilikuwa shida achilia mbali kuongea.
 
21 Reactions
Reply
Back
Top Bottom