Mzigua90
JF-Expert Member
- Sep 23, 2014
- 38,240
- 88,154
Ana utata fulani hiviiEmelda ila kapoa nw ..namuonaga Mbezi beach ...
Ana utata fulani hiviiEmelda ila kapoa nw ..namuonaga Mbezi beach ...
Naanzaje kupanik kwa yasiyonihusu mkuu? Nimetoa tu ushauri kwa wanawake majungu sio mtaji. Usifurahi mwenzio akipata tatizo leo maana hakuna aijuae kesho yakeeAngalia vizuri post zetu ni sie tuliosema hivyo au zile vuvuzela za insta? Dont panic hakuna anayemchukia jack humu
Who cares?
Wapo wote na waume zaowaliishia dar?
Naanzaje kupanik kwa yasiyonihusu mkuu? Nimetoa tu ushauri kwa wanawake majungu sio mtaji. Usifurahi mwenzio akipata tatizo leo maana hakuna aijuae kesho yakee
I stand corrected binamu , yeah ni kweli mwanazengo
Ana utata fulani hivii
Mane utukome wanyaki. Jacky sio mnyaki jamani, muache alie kwa style yake.
Mtata kweli. mumewe ndio mpole.Mzigua ww??mie namjua km mtulivu ..labda Ritha..lol..mm niliwah kutana naye live enz tuko chuo ...shobokea balaaakawa poa balaa
Mtata kweli. mumewe ndio mpole.
Mbona sura yako ya Me lakini uandishi wako ni wa Ke au ndio mambo ya transgender?Jamani nilikua silikosi hili gazeti ninayo toka no 1 had la mwisho mwee hahaba Jack alimchamba sana Emelda maskn hakuamin macho yake. lol...
Mbona sura yako ya Me lakini uandishi wako ni wa Ke au ndio mambo ya transgender?
Pesa mwana Izaya!Warumi Niko juu binamu, Sasa Mimi habari za mujini naanza kukosaje? Nimeanza umbea miaka hiyo, nashangaa humu watu wanakurupuka tu wanataka kushindana na Mimi , ahahahaah , mbea mie Nina kumbu kumbu hatari, kichwa kinahifadhi ma file tu kichwani
Ila Mimi nilikua fan mzuri tu wa BANG, Tena nilikua naendaga mpaka pale mikochen kwenye office zao , nilikua napenda sana kufanya kazi kwenye lile jarida, sema nilikuaga nasoma nje nakuja bongo na kurudi
Ila emelda Yule dada hanaga makuu jamani , mpole mwenyew mcheshi, Ila wanadamu mmh Ila Malipo hapa hapa duniani
manengelo una mume kumbe?! Siku zote najua wewe ni dume la mbegu. Ulimola poti?Ila mm niwe mkweli..sitaki kuside kwa Mange au Jacky...jaman..nna mume ndyo...sijawah fiwa na mume sawa nakubali kbs...ila jaman Jacky hata kulia??au ndo udhungu huo jaman...tatizo misiba ya matajri bwana...wanaremba na milipstick na misunglass juu...misiba ya wanyaki bwana wee😂😂😂..au ndo wale wenye uchungu rohoni??aisee...Jacky ameniacha na maswali mno jamn
manengelo una mume kumbe?! Siku zote najua wewe ni dume la mbegu. Ulimola poti?
Nisishindwe tu bali nilegee pia!! Mwezi ujayo naleta posa!ushindwe...hahaha...how niwe men..navyofurahia kuwa ke sasa mm