Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hawa jamaa wa mwanzo mwanzo wa bongo fleva hawakunufaika kabisa kwa kazi ngumu waliyofanya ya kuibadilisha na kuishawishi jamii kuwaelewa ktk aina yao ya muziki wa kizazi kipya matokeo yake wanafaidi madogo wanaoimba mapenzi tu.
Wamebaki masikini na wanadharaulika na madogo walioibuka baada ya kazi ngumu iliyofanywa na wakongwe hao.Kweli kabisa. Hawa walikuwa na kazi kubwa ya kuishawishi Jamii kuwa muziki wanaofanya sio uhuni.
Always the world is not fair, Sugu asingejiongeza leo hii tungekuwa tunamcheka kama akina DudubayaWamebaki masikini na wanadharaulika na madogo walioibuka baada ya kazi ngumu iliyofanywa na wakongwe hao.
Hahahahhh. Sijui nitudi kijijini?em fagilia kiafande....aisee ww aisee ww!
hahaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaem fagilia kiafande....aisee ww aisee ww!