Huku kwetu vijijini huyo mgombea wa CDM hawamjui hata kifogo. Zaidi ya 95% huku kwetu wanamkubali sana JPM. Suala la Corona limempa heshima kubwa sana JPM.
Naamini ushindi wa mwaka huu kwa JPM utakuwa ni Kimbunga. Hata CDM wenyewe kwa upande wa Rais wamesema watampa kura JPM.
Naamini ushindi wa mwaka huu kwa JPM utakuwa ni Kimbunga. Hata CDM wenyewe kwa upande wa Rais wamesema watampa kura JPM.